Da Lu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 1,209
- 2,840
Kama unauza njoo pm tumalize biashara. Acha kuzunguka bibie
Hicho ndicho ndo ulichokisahau maana umezunguka sana slay king[emoji1476]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unauza njoo pm tumalize biashara. Acha kuzunguka bibie
Hicho ndicho ndo ulichokisahau maana umezunguka sana slay king[emoji1476]
Ww una nn?
Nanunua. Kama upo tayari njoo pmKama kuuza K ni rahisi na ww nenda ukauze.
Education is sexy na ni rahara sana kuona jina lako Numbisa awarded from University of..... si kujisifia K
Nimezunguka wapiHicho ndicho ndo ulichokisahau maana umezunguka sana slay king[emoji1476]
Hajawahi kutangaza alichosomea zaidi ya kukurupukia joho
Yule dada muongo muongo sana usikute hata sio master[emoji23] mm simuamin hata kidogo bora nimuamin pierre tu
Nimezunguka wapi
Nanunua. Kama upo tayari njoo pm
Nimezunguka wapi
Kipindi kile alishushuliwa kuwa alienda azima joho la kupigia picha hapo eneo la tukio. Ilimuuma alishusha magazeti kama yote
Nikumbusha University of wanywagongo, Mange alikuwa anaumia ila ndo amfanyeje KichwapanziKwani alisomea kitu gani hadi anakosa kazi?
Unajua ni vile tu sijapata muda ninge msearch kwenye hicho chuo chake mbona ningeona alichosomea kinachomfanya akose kazi takribani miaka 10 sasa[emoji23]
#PHD for nothing
#broke bitch
[emoji23][emoji23] kaazima joho huyu maana watu wanaongea sana darasani mambo si mambo