warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Zarinah Hassan a .k .a Mama Tiffah amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa amefungwa mkononi ?hirizi?, hali iliyowafanya watu wengi wabaki na vingi viulizo .
Mtoto wa staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz, Tiffah .
Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyo siku chache baada ya kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao kwa mila za Kibongo siyo tatizo .
Hata hivyo , wakati Diamond akitoa ufafanuzi huo baada ya watu kuibua maneno kuwa ?hirizi? hiyo inahusiana na mambo ya kishirikina , Zari alidaiwa kutokubaliana na uamuzi huo na ikadaiwa kuwa, alishindwa kugoma ili kutomkwaza mama Diamond ambaye ndiye aliyefanya zoezi hilo.
Baada ya Tiffah kudumu na ?dawa ? hiyo kwa miezi michache ( kitu ambacho si cha kawaida ), Zari alipokwenda Sauzi alifanya maamuzi magumu ya kwenda kinyume na utamaduni na mzazi mwenzake na kuamua kuivua ?hirizi? hiyo .
Tiffah akiwa na wazazi wake .
Ushahidi wa Zari kufanya hivyo unaonekana kwenye picha za hivi karibuni alizoposti kwenye ukurasa wake wa Instagram ambapo moja inamuonesha Tiffah akiwa kavaa ?hirizi? hiyo na nyingine hana .
Kufuatia uamuzi huo , baadhi ya Wabongo walionesha kumshangaa Zari huku wakimponda kuwa alichokifanya siyo sawa .
Unajua ule ni utamaduni wa bwana wake , alitakiwa auheshimu hata kama kwao mambo hayo hayapo . Kitendo cha yeye kwenda Sauzi na kumvua Tiffah ile dawa ni kuonesha dharau , amemdharau Diamond na mama yake pia , siyo sawa ,? alisema shabiki wa Diamond aliyejitambulisha kwa jina la Mariam .
Diamond hakuweza kupatikana mara moja kuzungumzia uamuzi wa mzazi mwenzake huyo
Mtoto wa staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz, Tiffah .
Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyo siku chache baada ya kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao kwa mila za Kibongo siyo tatizo .
Hata hivyo , wakati Diamond akitoa ufafanuzi huo baada ya watu kuibua maneno kuwa ?hirizi? hiyo inahusiana na mambo ya kishirikina , Zari alidaiwa kutokubaliana na uamuzi huo na ikadaiwa kuwa, alishindwa kugoma ili kutomkwaza mama Diamond ambaye ndiye aliyefanya zoezi hilo.
Baada ya Tiffah kudumu na ?dawa ? hiyo kwa miezi michache ( kitu ambacho si cha kawaida ), Zari alipokwenda Sauzi alifanya maamuzi magumu ya kwenda kinyume na utamaduni na mzazi mwenzake na kuamua kuivua ?hirizi? hiyo .
Tiffah akiwa na wazazi wake .
Ushahidi wa Zari kufanya hivyo unaonekana kwenye picha za hivi karibuni alizoposti kwenye ukurasa wake wa Instagram ambapo moja inamuonesha Tiffah akiwa kavaa ?hirizi? hiyo na nyingine hana .
Kufuatia uamuzi huo , baadhi ya Wabongo walionesha kumshangaa Zari huku wakimponda kuwa alichokifanya siyo sawa .
Unajua ule ni utamaduni wa bwana wake , alitakiwa auheshimu hata kama kwao mambo hayo hayapo . Kitendo cha yeye kwenda Sauzi na kumvua Tiffah ile dawa ni kuonesha dharau , amemdharau Diamond na mama yake pia , siyo sawa ,? alisema shabiki wa Diamond aliyejitambulisha kwa jina la Mariam .
Diamond hakuweza kupatikana mara moja kuzungumzia uamuzi wa mzazi mwenzake huyo