Zari amwambia Diamond "usinijaribu"

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mambo ya ndani yakitoka hadharani inakuwaga tabu sana.. Haaaa
 
Diamond anakwisha sasa
Naye Akome ku date watu wazima/wakubwa zake. What he is doing ni sahihi kwa umri wake. Tho si halalishi, btw maneno yangu si sheria. Zari naye atulie alishakula ujana so asimlazimishe kaka watu kuanza kubehave as yuko 50,s while yupo katika age ambayo vijana wengi wanapitia anayopitia for them to grow up [emoji52]
 
Sa si aende akajipatie..anatoka wap ku date vitoto...heee
 
Mambo bado yanaendelea?jamani mambo ya mapenzi waachie walio mapenzini. Hamjui zari ataambiwa nini na Chibude mpk akalainika. Muwaache
 
Mkuu mbona hiyo Defarmation of character law suit hukuitolea tafsiri kama maneno mengine
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ladba awasiliane na Lissu
 
Mmhhh
 
Bongo bana, unakuta mtu mgogoro wa mondi unamsumbua anasahau km anaibiwa hukoo
 
Mmmh unaweza kuta unatamani kilionja dyudyu la Mondi....huna lolote....unajua anawafanya vipi mpaka waelemewe kimahaba kwake?
 
Wanawake wajanja sana wakiona unamchele ukigusa tuu mimba,
 
Wewe ndio esma platinumz nini naona unamuelezea kaka yako kwa hisia zaidi
 
Mmmh unaweza kuta unatamani kilionja dyudyu la Mondi....huna lolote....unajua anawafanya vipi mpaka waelemewe kimahaba kwake?
We nae utakua umepagawa na maisha si bure msiiiiiiiiiiw
 
Naona muda si mrefu tutajaliwa taarifa mujarabu wa nani mmilikiwa wa karanga, studio, WasafiDokTom na mazagazaga mengine...
[HASHTAG]#ZariTheMafiaLady[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…