Ni baba wa wanae. Sioni tatizo. Ila kama angekuwa kwenye ndoa nyingine Halafu akatoa hizo wishes nisingemlaumu huyo mume kama angemcharukiaAkiwa anamtakia birthday mondView attachment 886195
Ni neno la utani tuUmeliona neno vikima?
ndio.ila zari ndo alianza kwa kumwita dai mbwaKwan diamond aliwahi kumwita kima Zaria?
ndio.ila zari ndo alianza kwa kumwita dai mbwaKwan diamond aliwahi kumwita kima Zaria?
ndio.ila zari ndo alianza kwa kumwita dai mbwa
mbona speed numbi...mi nimecoment tu wala sio ugomvi.Where?acha hizo. Zari alimnunulia mbwa nillan akamuita simba,kwani simba si mnyama jamii ya mbwa. Mtu ukishajiita majina ya wanyama uache kujishtukia
mbona speed numbi...mi nimecoment tu wala sio ugomvi.
hiyo ni according to wambea wa kule not me[emoji4] [emoji4] [emoji3]
labda wao ndo walijishukia sio mimi..ila ishu ilitrend sana wakaconclude ni dongo kwa dai ndo ikawa hivo
Shabiki namba moja wa Zary na wanawake wote walio huru kichwan,uchumi ,Sexy!![emoji8][emoji8]Where?acha hizo. Zari alimnunulia mbwa nillan akamuita simba,kwani simba si mnyama jamii ya mbwa. Mtu ukishajiita majina ya wanyama uache kujishtukia