Zari ana maana gani kusema hivi?

Maana yangu ni kuwa,was she really ment to call her own children Vikima..?
awaiteje sasa kama baba yao mwenyewe ndo katukana .fanya mfano wewe unamtukana mkeo unamwita kenge...na yeye kakuzalia je kenge anaweza kukuzalia binadamu?.
kama mama yao unamwona kenge basi kakuzalia kenge..
ukimtukana mkeo umewatukana wanao
 
awaiteje sasa kama baba yao mwenyewe ndo katukana .fanya mfano wewe unamtukana mkeo unamwita kenge...na yeye kakuzalia je kenge anaweza kukuzalia binadamu?.
kama mama yao unamwona kenge basi kakuzalia kenge..
ukimtukana mkeo umewatukana wanao
Ok labda sikujua mwanzo wa hiyo story,kwahiyo chanzo ni kuwa Diamond alimuita mama yao Kima,duh haya ndio matatizo ya kudandia thread,nimekuelewa..
 
Wanawake wa kujielewa,siku hamisa akijielewa ntamtetea. Asimame mwenyewe tena ikifika birthday ya dai amuweke mwanae na kumuita baba sidekid. Ni kofi kwa kofi maisha yaendelee
na huyu mama hakumaanisha kuwatukana wanae..bali ni kama anamkumbusha upuuzi wake
 
Wanawake wa kujielewa,siku hamisa akijielewa ntamtetea. Asimame mwenyewe tena ikifika birthday ya dai amuweke mwanae na kumuita baba sidekid. Ni kofi kwa kofi maisha yaendelee
kwani huyu anshindwa nini kulea mtoto kivyake adai hela ya matumizi tu.anajidhalilisha
 
Ana kiu ya umaarufu sana. Na pia akili kashikiwa na mama yake hivyo mama mtu anataka pesa,nyumba na maisha ya juu,binti huo uwezo hana hivyo bila dai maisha yatawapiga sana. Na kakuta dai akili kashikiwa na mama pia.
kwani huyu anshindwa nini kulea mtoto kivyake adai hela ya matumizi tu.anajidhalilisha
 
Hakuna tatizo kama mama kima anamuwish baba kima..
 
Kima kwa kiganda ni watoto. Mambo mengine muwe mna google tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…