Daah et muuza karanga wabongo hatujambo..!!
Siyo mkosi huenda anakutana na watu wasiojitambua au atakuwa na tatizo fulani
Yeye mwenyewe anajitambua?Siyo mkosi huenda anakutana na watu wasiojitambua au atakuwa na tatizo fulani
Ndiyo maana nimesema huenda ana tatizo fulani,tatizo hilo inawezekana ni kutojitambua kwake au tatizo ambalo lipo tu...Yeye mwenyewe anajitambua?
Kwa taarifa yako zile Karanga yeye ametumika kama brand tu kwa ujira was Mil.50. Ni product za wahindi... Ni sawa na Chibu Perfume kwamba ni product ya mke wa Joseph Kusaga! muwe mnafanya research...idiot!kwani kosa liko wapi? hauzi karanga?
Sawa lakini si anapiga mpunga ?Kwa taarifa yako zile Karanga yeye ametumika kama brand tu kwa ujira was Mil.50 ..ni product za wahindi...ni sawa na Chibu Perfume kwamba ni product ya mke was Joseph Kusaga! muwe mnafanya research...idiot!
Amna kosa comrade ,ila hiyo kampuni wamemtimia yeye na jina lake ili wavutie watukwani kosa liko wapi? hauzi karanga?
Mpunga ameupiga kama malipo tu baada ya hapo napato hayamuhusu!Sawa lakini si anapiga mpunga ?
labour ward ammbassodor wa wanaume .sijui nani atapokea kijitiYani Zari kazi yake ni kuzalishwa tuu...
Mpaka aikishe miaka 45 atakuwa na watoto 12
Mimi hapa [emoji41]labour ward ammbassodor wa wanaume .sijui nani atapokea kijiti