Zari ana mkosi na wanaume: Muda ukifika ataachana na muuza karanga kama ilivyotokea kwa Ivan

Zari ana mkosi na wanaume: Muda ukifika ataachana na muuza karanga kama ilivyotokea kwa Ivan

mimi mungu anipe mwanaume kama ivan ,na watoto watatu .eti nijitoe nikaanzishe maisha na mtu mwingine? big no .alikosea sana kuachana na ivan .hakuna ndoa isiyokuwa na shida angevumilia tu baada ya muda wangekuwa sawa .mzimu wa ivan hautomuacha salama
Leo utaenda the pallet?
 
mimi mungu anipe mwanaume kama ivan ,na watoto watatu .eti nijitoe nikaanzishe maisha na mtu mwingine? big no .alikosea sana kuachana na ivan .hakuna ndoa isiyokuwa na shida angevumilia tu baada ya muda wangekuwa sawa .mzimu wa ivan hautomuacha salama
Furaha ndo kila kitu, sio kila mtu ana moyo wa kuishi kwa shida ili tu kufurahisha watu.
Yupo wapi mange na mzungu, kutupia picha ya kuwa wako happy kumbe ndani moto tu
 
Ni suala LA muda tu. Sidhani kama kwa sasa anafurahishwa na yanayofanywa na muuza Karanga wake. Kumbuka kipindi kile maneno yaliyoandikwa na diamond pale alipoona picha za zari akiwa na mwanaume. sasa unganisha na hili LA Hamisa Mobetto. zari ana mkosi na wanaume hata huyu ataachana naye soon
Tatizo hataki kuishi km mama
Yy anataka kuishi ki sanii
Yy ni mama pamoja na yote anayodhani anayo,
Siku akiamua kurudi chini na kuishi km mama tena mama wa kiafrika siyo wa kizungu atapata mume na ataishi na mumewe vizuri kabisa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu kwa kumtengenezea njia nyepesi kiba kwa zari hawajambo maana wakiachana tu kiba anabeba mzigo
 
Siyo mkosi huenda anakutana na watu wasiojitambua au atakuwa na tatizo fulani
Yeye ndo hajitambui,
Mama unaishije na mwanao,
Zali hawezi muita mama ake mond mama anamuita Dada maana hawapishani
Halafu unajidanganya eti mume,
Mond bado mtoto lazima anawashwa na maumbile ya watoto na pia anatenda kitoto maana ndo umri wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watajenga hostel hiyo timu ya watoto aliyonayo King Kiba
 
Tatizo halipo kwa Zari bali watu wake hao ndio MITAMBO
 
Daaah wabongo kwa kutakiana mabaya sijui hadi tutaendelea kuwa hivi. Eti muuza karanga
 
Ni suala LA muda tu. Sidhani kama kwa sasa anafurahishwa na yanayofanywa na muuza Karanga wake. Kumbuka kipindi kile maneno yaliyoandikwa na diamond pale alipoona picha za zari akiwa na mwanaume. sasa unganisha na hili LA Hamisa Mobetto. zari ana mkosi na wanaume hata huyu ataachana naye soon
Kwani wewe mpenzi wako wa kwanza uko nae mpaka leo, kuachana ni kawaida tu wala sitashangaa

Yes or No
 
Back
Top Bottom