Zari ana mkosi na wanaume: Muda ukifika ataachana na muuza karanga kama ilivyotokea kwa Ivan

Wanawake tunasifa ya uvumilivu sana ukiona mwanamke mwenzio ameondoka hata sehemu yenye mali ujue ameshavumilia mpaka ameamua kunyoosha mikono.Hakuna kitu kizuri ktk ndoa kama upendo na amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni comment bora kabisa. Mkuu kura like zako kibao.
 
Bora huyo aliyejiongeza akauza Karanga ni baba,kaka,mume na ameikomboa familia yao umiza akili kumfikiria mfukon huna kitu hamna kitu nachukia kama mtu anayedharau kazi za watu hasa waliojiar wenyewe wakiachana wewe inakuhusu nn?
 
Wahaya hawapo hivyo, au wa kuchomekewa wewe? Hayo waachie Wazaramo.
 
Sio kama ana mkosi na wanaume inawezekana she is making wrong selection.Ana aina ya wanaume ambao yeye anawapenda lakini yawezekana hiyo type ya wanaume sio wanaume wa kaliba yake na ndio maana anakutwa na hayo matatizo.Amini au usiamini binadamu wengi kama sio wote tunafanya makosa makubwa sana kuchagua wenza wetu kwa matamanio bila ya kumshirikisha Mungu,ndio maana katika kipindi kifupi tu utakuta mahusiano yameshaingia dosari.
 
Kwa taarifa yako zile Karanga yeye ametumika kama brand tu kwa ujira was Mil.50 ..ni product za wahindi...ni sawa na Chibu Perfume kwamba ni product ya mke was Joseph Kusaga! muwe mnafanya research...idiot!
Tupe angalau kopy ya huo mkataba na wahindi otherwise itakua ni udaku tu
 
Atapata mume na lundo hili la watoto duh! Wanaume na sisi ni mafisi balaa
 
Mbona povu jingi mkuu, pole kwa yaliyokukuta
 
Wanawake wanaojitambua si wa mchezo mchezo kuvumilia upumbavu kisa kuna mali. Halafu ukiondoka kwa kuchoka kuvumilia upumbavu unaambiwa eti una mkosi!

Wanawake tunasifa ya uvumilivu sana ukiona mwanamke mwenzio ameondoka hata sehemu yenye mali ujue ameshavumilia mpaka ameamua kunyoosha mikono.Hakuna kitu kizuri ktk ndoa kama upendo na amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Zari atafute Mzee mwenzie atatulia, hawa vijana watamchosha akili na mwili.
 
Mkuu habari yako aiseeeee.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…