Zari anunua gari audi mpya 2018



Hiyo siyo Audi ya 2018, angalia Grille yake, kwanza ins miaka zaidi ya 5!
 
Yule side chick amekuwa msasambuaji kwenye sherehe na vigodoro vya tandale, yombo na Kampala
 
Dada mange hajathibitisha hili siamini Itakuwa ni kakopa au kapiga picha tuu
 
Kwahiyo we ulitaka anunue DILDO?![emoji117] [emoji108] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hilo gari angelinunua na kulileta Tanzania TiaRei wangepiga kodi si mchezoo
 
Sasa gari zenyewe za kutangaza zikowapi Passo? Vitz? IST? Hizo sio gari, ni vidude tu vyenye matairi vya kukuwezesha kumove point A to B. Wacha wenye magari yao waturingishie
 
Mbona wewe umepoteza mda kumwaga povu hapa badala ya kumsifu Mungu
 
Hongera Zari asante pia kwa kutupa hasira ya kuendelea kuzisaka
 
Hyo sio Audi Q7 ya 2018 bwana tusidanganyane.

Hii ni Audi Q7 ya mwaka 2013.

Anyways Hongera zake bado ni gari ya thamani ambayo wengi wetu hatuwez afford.

Hii ni Audi Q7 ya 2013




Na hii hapa ni Audi Q7 ya 2018

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…