Zari anunua ndinga mpya

hakuna wa kuamini maana wote wanaiishi maisha ya ufeki feki, kama ujui muulize mwandishi wa shigongo wanapoenda kupandishwa habari za uongo na kuijipandisha chati, nakumbuka kuna mtu kama si dai eti amenunua mtaa mzima mwananyamala, alafu kanunua na studio kubwa kumbe ya kukodi uenda hata hiyo ya south balaa
 
Umeona eeh! Chuki na wivu wa kutisha! Mie nampenda sana huyu mrembo. Na mafanikio yake pia nayafurahia
Sawa kaka. Lazima tumpende hakuna namna.
 
Reactions: BAK
Vyuo sio shule,halafu ni mali ya wanae ya urithi jamaa ana net worth ya $8m
hapo ndio unanishangaza zaidi.kwahyo ni vipodozi ndio ananunua magari yote hayo ya bei mbaya!!!! kutoa kwenye biashara yako ukanunua BENZ, BENTLEY,PORSCHE ,RANGE ROVER,sio kitu kidogo! kuna gari hapo bila mil 200 hununui sasa yeye ana nyingi
 

Attachments

  • ZARI3.png
    23.7 KB · Views: 23
Nashangaa wanaomnanga Zari..Vogue kwake ni kitu cha kawaida
 
Farasi Mweupe hiyo picha imenkumbusha cataliya,ndo iliyomtambulisha zoe kwangu

Yeah mkuu ile movie kila mpemda movies keshaitazama zaidi ya mara moja [emoji12][emoji12][emoji12]
 
ningekuwa mtu wa karibu na zari, ningemshauri aachane na drama za social media, angekuwa tu anafanya mambo yake kimya kimya bila show off.

tatizo na yeye licha ya umri wake mkubwa, anapenda sana apewe attention.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…