Was my dream car kumbe ni bby girl wat da fBaada Ya Davido kumzawadua Mpenzi wake Chioma gari wabongo walimsema sana kuwa Mond hajawahi mnunulia hata Rav 4.Hatimaye Bibie kajibu mapigo.
Hongera kwake Hard work pay. She's one in a Million. View attachment 765667
DooooohNini kimekujulisha kwamba kanunua?mbona ni show room tu hapo kaomba kupigia picha hilo Range?
Mtaendelea kuleta habari za wenzenu tu
[emoji12]Anonymous don't lie,our life is too fake to post here let us be other famous people followers
Ahaaaa!!!eti "Chiu" wake sio mtamu,wabongo bhana!!!Naamini Diamond sio mjinga kumuacha huyu dem na uzuri wake
kuna kosa kubwa atakuwa alifanya huyu ama pia inawezekana Chiu wake sio mtamu kabisa ...
Asante, Saluti kwako mkuu!Nitaamini ni yake nikiona anaitumia. Maana huyu naye ni wale wale. Diamond aliwahi kutuonesha Hummer na huyu Mwanamke akampongeza ila Hadi sasa sijawahi kuliona tena. Hata hiyo nyumba hiyo Mda utaongea.
Asante, Saluti kwako mkuu!Nitaamini ni yake nikiona anaitumia. Maana huyu naye ni wale wale. Diamond aliwahi kutuonesha Hummer na huyu Mwanamke akampongeza ila Hadi sasa sijawahi kuliona tena. Hata hiyo nyumba hiyo Mda utaongea.
Mimi pia namshangaa ,hadi akinunua mabirika anahabarisha kwenye mitandao .Huyu mwanamke anatatizo sio siri.Huyu Zari kila kitu chake anaweka kwenye mitandao?naona na mipango yake yote na familia no.Nahisi huyu mama ana Tatizo sio bure wewe uwezi kuendesha maisha kwa social media.Kesho atanunua Pichu aweke huku.Watu went akili zao na pesa zao hawaweki vitu kea media.Wapelekeni watoto shule elimu muhimu Sana unaweza kujitambua kidogo