Zari anunua ndinga mpya

Zari anunua ndinga mpya

Nitaamini ni yake nikiona anaitumia. Maana huyu naye ni wale wale. Diamond aliwahi kutuonesha Hummer na huyu Mwanamke akampongeza ila Hadi sasa sijawahi kuliona tena. Hata hiyo nyumba hiyo Mda utaongea.
Tusubiri mda gani mama?maana hata wakati ananunua ile nyumba mlisema ipo Siku,naomba kuuliza swali la nyongeza tusubiri hadi lini?
 
kabiashara ka vipodozi na sasa kusimamia shule za marehemu mme wake kunalipa sana.maana huwa najiuliza ni hii tu biashara kweli!! ukweli anao mwenyewe na hongera yake!!!
 
kabiashara ka vipodozi na sasa kusimamia shule za marehemu mme wake kunalipa sana.maana huwa najiuliza ni hii tu biashara kweli!! ukweli anao mwenyewe na hongera yake!!!
Vyuo sio shule,halafu ni mali ya wanae ya urithi jamaa ana net worth ya $8m
 
Fainali uzeeni. Hamkawii kutembeza bakuli ili mkatibiwe!!!!!
 
Back
Top Bottom