Jamani huyu Dada hajui hata kudeka yaani kuimbiwa kote huko still kaganda tu ka msonobari, halafu kuchekea pembeni vepee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa hayo mapengo anamficha diamond au anatuficha ss watazamaji, yaani mwanamke mgumu cjapata ona[emoji125] [emoji125] [emoji125] timu bibi msitoe mapovu am jus saying
Ni kweli, na ndio maana hata akitoa bidhaa hawamudu hata kuzinunua,japo ni bei nafuu.Nilisikia team wema weng ni wanafunz na mahousegal hiv ni kwel???
Kinyago toka Mbeya
Nilisikia team wema weng ni wanafunz na mahousegal hiv ni kwel???
Hii team wema na team zari ipo ligi daraja la ngapi?
Ndo maana basi..Timu za Ndondo Cup.