Zari apagawisha na diamond platinumz kwa jambo hili

Zari apagawisha na diamond platinumz kwa jambo hili

Sasa wakicheka wawili ukitafuta diameter ya midomo yao itakuwa balaa. Mdomo wa dai unatosha kum represent na mke wake lb
 
Nilisikiaga team wema ni choka mbaya,stress zao zote wanamalizia kwa zari . KUMBE NI KWELI!!? POLE SANA. IDD ULIKUA UNAOMBA MSAADA WA LAKI NNE SAIV UNAKEJELI BOSS MWENYE HELA ZAKE AMBAE MOM AKE ALIKUA ANAUMWA KAMTIBU KWA KUSHIRIKIANA NA NDUGU ZAKE KIMYA KIMYA BILA KUOMBA HELA MITANDAONI
Wewe dada sio sawa ulichoandika.
 
Alichokifanya yeye hukioni?aliemkashfu anamfahamu? Kwan zari sio "mwenzetu"?
Kasirika usikasirike i dont care.
Sina muda wakumjadili zari wala sijui wema.mm nilichokasirika nikuona unamkashifu mwenzako kisa Wehu fulani ambao hata hawawafahamu.
 
Back
Top Bottom