Zari is very Primitive.Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Hv anaijua hii lugha....ama ungemchapa na kimombo kabisa...ili ujumbe ufike sawia...ama vpHivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Do you think Zari is respectable creature, who deserve such a kind of respect?how do you feel kuadmit mbele za watu kuwa your man hatoshekagi mpaka ananyakuliwaga?
au
au you cant handle him well,kwa hiyo nyaku time is available ?
Hatumii nguvu hata kidogo, acheni utani Zari anapendwa balaa na Dai.....wanawake ambao hawajawahi pendwa hivyo lazima iwaumeMmh huyu dada anatumia nguvu nyingi sana kudhihirisha uma kuwa anapendwa ki mantik ukiona mtu anajihami sana jua kuwa tatizo
Umeona eehHatumii nguvu hata kidogo, acheni utani Zari anapendwa balaa na Dai.....wanawake ambao hawajawahi pendwa hivyo lazima iwaume
hahahaaa marhaba daughterUmemaliza yote mama,shkamoo [emoji119]
Huyo mwanamke ndo anayewaelewa wanaume. Mwanaume wako tu anapokuwa nyumbani. Nyakuz wapo kama kawa.Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Hujawi kujigonga bempezoni mwakitanda. Maumivu yake yamwanaume hayaingii ndaniTema mate chini Niffah[emoji38][emoji38]!!hayajakukuta bado kuna wakati itafikia baba watoto wako unajua kabisa anachepuka lakini huwezi kumwachia!!
Umesahau Wema alivyomwindaga Meninah Atick kipindi kile kisa Domo?!
Akaja akaanzisha timbwili zito studio kwa manecky kisa alimkuta Victoria Kimani na Diamond wako pamoja,mwisho wa siku wakaishia kupigana na Chibu!!
Tena Wema hana subira ya kuvumilia ujinga,yaani akijua umemchukua bwana wake au unajipeleka peleka hakuachii,atapambana mpaka mwisho!!
Mwanaume anauma Niffah acha tu[emoji38][emoji38]
Chezea kushusha mtu 2 na Ndoa hutangaziwi, akiiii Dai nunda.Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
HahahaaaaaaZari is very Primitive.
Aliyekuambia hakijui kiswahili nani? Fuatilia Insta uone anavyochambana na waswahili huko.Hv anaijua hii lugha....ama ungemchapa na kimombo kabisa...ili ujumbe ufike sawia...ama vp