Wanawake bhana wana vurugu.Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa
Daaaaah kiukweli yule mtoto ni Ivan mtupu!vipi huyo demu kishampeleka Nillan kwa baba ake?!
Hahahaaaaaa aiseee huo ujinga hata mimi sifanyi,nioe ndio tuzae,period.Chezea kushusha mtu 2 na Ndoa hutangaziwi, akiiii Dai nunda.
Hahahaaaaa kuzaa anaona kaolewa mkuu.Wanawake bhana wana vurugu.
Zari ni kimada anawananga VIMADA WENZIE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemshangaa.Hahahaaaaa kuzaa anaona kaolewa mkuu.
Kwa vijembe hivyo ni wazi yuko frustrated,hajiamini.
Kila Ramadhani anaenda Sauzi na Dai anabaki,dah!Nimemshangaa.
Na mumwambie RAMADHAN inakuja hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndoa ina heshima yake,ajitahid amlobby jamaa amuoe si vinginevyo.Kila Ramadhani anaenda Sauzi na Dai anabaki,dah!
Mwanamke mtu mzima kama yule ni aibu sana,bora angekuwa kaolewa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Akiolewa nitamvulia kofia,otherwise akae kimya tu.Ndoa ina heshima yake,ajitahid amlobby jamaa amuoe si vinginevyo.
So during Ramadhan kunakua na LONG DISTANCE
Mawazo kuntu, ila umeharibu ulipomuita 'bibi',siyo vizuri.Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Akiolewa nitamvulia kofia,otherwise akae kimya tu.
Kumbe tunamendewa sanaπππHakuna cha kujidhalilisha wala nini!!dongo kwa wale wote wanaomendea mendea wanaume wa watu kutwa kujichora Tattoo ya Diamond
Tusidanganyane,wanaume wetu wote wanachepuka,kwahiyo vijembe kama hivi ni kawaida sana
Watu wanaigiza tu kwenye mitandao humu ila kiuhalisia wanafanya the same Zari anafanya,wanafeel the same Zari anafeel
Asilimia 90% ya wanaume zetu wanachepuka mbayaa!!halafu michepuko hawana hata adabu na heshima kwa wewe mmiliki...Unakuta mtu anavimba eti anapendwa kuliko wewe mwenye mume na hashuo juu anakuletea[emoji38]!!akihongwa vilaki tatu nne huko gesti basi anajiona anapeeendwa!
Lazima uwakumbushe mara moja moja!!na huwa inawauma sana wakiona family iko pamoja!!
Ichi kibibi nacho mhh
Fact kabisa..Hahahaaaaaa aiseee huo ujinga hata mimi sifanyi,nioe ndio tuzae,period.
BTW Dai ana akili zake,anajua kabisa Bibi Zari is after something...alizompa zimetosha.
Hataki kujikabidhi kwake jumla hehehe
Kweli aise sio fan wa zari bt hapa yupo right kaongea hivyo coz anajua kuna nyakunyaku wanammendea diamond imebd awachambe na najua kuna watu roho znawauma sana hakuna kuachia mume kirahisi hapaTema mate chini Niffah[emoji38][emoji38]!!hayajakukuta bado kuna wakati itafikia baba watoto wako unajua kabisa anachepuka lakini huwezi kumwachia!!
Umesahau Wema alivyomwindaga Meninah Atick kipindi kile kisa Domo?!
Akaja akaanzisha timbwili zito studio kwa manecky kisa alimkuta Victoria Kimani na Diamond wako pamoja,mwisho wa siku wakaishia kupigana na Chibu!!
Tena Wema hana subira ya kuvumilia ujinga,yaani akijua umemchukua bwana wake au unajipeleka peleka hakuachii,atapambana mpaka mwisho!!
Mwanaume anauma Niffah acha tu[emoji38][emoji38]
Yan ichi kikongwe kabisa we ndo unamuona mzur wkt anambemenda kijana mwenzetu wa tzZari si Bibi wala kibibi unaonekana unaongea kwa hasira tu, angalia zitakuua. Zari ni mzuri wa asili na ana mvuto wa hali ya juu. Jiangalie wewe mwnyewe kwenye kioo kisha jilinganishe na Zari, utaona jinsi anavyokuacha mbali japo wewe ni mtoto wa miaka 16.
Hawa ndiyo kaka zetu hawaamini kwenye first, second sijui last Love, nioe ntazaa bora nikorokochoe tu.Hahahaaaaaa aiseee huo ujinga hata mimi sifanyi,nioe ndio tuzae,period.
BTW Dai ana akili zake,anajua kabisa Bibi Zari is after something...alizompa zimetosha.
Hataki kujikabidhi kwake jumla hehehe
Hawa ndiyo kaka zetu hawaamini kwenye first, second sijui last Love, nioe ntazaa bora nikorokochoe tu.