Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Labda kama analisuguwa papa naweza kukuelewa.

Zari ana kitu gani cha kumbabaisha Diamond? Poor IQ ndio zinawasumbuwa.
Baba S do not underestimate the power of papuchi.... mambo ni motooo
 
Labda kama analisuguwa papa naweza kukuelewa.

Zari ana kitu gani cha kumbabaisha Diamond? Poor IQ ndio zinawasumbuwa.
Sababu wewe sio diamond. Ungekua yeye ungejua kitu kinacho mbabaisha.
IQ yangu ni 135. Nayo ni poor iq???
 
Yani kweli kbs unasimama mbele za watu unasifia IQ yako?!..bora ungejisifia chogo lako
Sijasimama mbona nmekaa. Nimemjibu iq nliyonayo sababu kasema nina poor iq. Kumbe nayo ni sifa kumjibu mtu.
Chogo sina bna. Kichwa changu sio kama chako chenye chogo kama ncha ya bamia[emoji21][emoji21]
 
Sijasimama mbona nmekaa. Nimemjibu iq nliyonayo sababu kasema nina poor iq. Kumbe nayo ni sifa kumjibu mtu.
Chogo sina bna. Kichwa changu sio kama chako chenye chogo kama ncha ya bamia[emoji21][emoji21]
Chogo chemba
 
Back
Top Bottom