Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Sasa na wewe jitahidi uwe na akili mpwa.Ana akili sana yule mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na wewe jitahidi uwe na akili mpwa.Ana akili sana yule mwanamke
Naona kikongwe asiyethaminiwa na wanaume wa Kiafrika (Mange Kimambi) atakuja kujiua kusikia hizi habariHafanyi umalaya ni msichana anayejitambua sana na mwenye msimamo mkali, akipenda kakupenda kwa dhati, anapenda show off lakini ziwe real sio fake. Yule bwana wake wa kwanza walipendana sana, jamaa alivopata mafanikio makubwa akaanza kumistreat Zari ikiwa ni pamoja na kumpiga, kudate na madem wengine waziwazi, Zari akambwaga jamaa, na hata alipotaka kurudi akamkazia, na ili kumuonesha kuwa hamtaki tena, akaanza kudate na Dai na kumzalia watoto kabisa, jamaa akafa kwa pressure 😂😂😂. Alichokifanya Ivan na Diamond kakifanya, Zari hatomrudia Diamond anachoangalia ni malezi ya watoto tu ila asha move on........ Hana umalaya hata chembe ila ni mwanamke anayetambua thamani yake.
Na sisi wanaume tuombe wanawake wote wasijitambue, Siku wakijitambua na kujua thamani yao, nusu ya wanaume tutakufa ndani ya mwezi mmoja.
Sijui mkuu..ndio maana nikaulizaDaah seriously? Hujui anachofanya Kenywe jamii yake
Yani unipige sababu ya Zari mkuu?Like seriously ? Unauliza this swali ? Ama Kweli bangi unayotumia sio ya nchi hii , yan ningekua karibu ningekupiga bonge la nyundo kichwan akili ikukae Sawa
Siwezi kufa kwa ajiri ya mwanamkeHafanyi umalaya ni msichana anayejitambua sana na mwenye msimamo mkali, akipenda kakupenda kwa dhati, anapenda show off lakini ziwe real sio fake. Yule bwana wake wa kwanza walipendana sana, jamaa alivopata mafanikio makubwa akaanza kumistreat Zari ikiwa ni pamoja na kumpiga, kudate na madem wengine waziwazi, Zari akambwaga jamaa, na hata alipotaka kurudi akamkazia, na ili kumuonesha kuwa hamtaki tena, akaanza kudate na Dai na kumzalia watoto kabisa, jamaa akafa kwa pressure [emoji23][emoji23][emoji23]. Alichokifanya Ivan na Diamond kakifanya, Zari hatomrudia Diamond anachoangalia ni malezi ya watoto tu ila asha move on........ Hana umalaya hata chembe ila ni mwanamke anayetambua thamani yake.
Na sisi wanaume tuombe wanawake wote wasijitambue, Siku wakijitambua na kujua thamani yao, nusu ya wanaume tutakufa ndani ya mwezi mmoja.
Una uhakika au unahisi?Afrika Kusini, kununua nyumba as a foreigner ni lazima uwe na kibali cha kuishi ( ambacho Diamond sidhani anacho ).
So, possibly kwenye hati za nyumba yupo Zari.
Wewe una akili kama zangu.hata sheria za kodi za Tanzania na sheria za nchi zinaruhusu non-resident kumiliki nyumba ila anatakiwa asajiri kama investor na sio individual.Labda kama unazungumzia Sheria za enzi za Makaburu kinyume chake, maelezo yako hayana ukweli wowote hususani kwa mtu kama Diamond (Tanzanian national)!
Wanachoangalia ni visa status yako na nchi unayotoka... I mean, kama una stahiki kuingia na kuishi SA!!
Kwavile Mtanzania anaweza kuingia SA bila viza na kuishi up to 90 days, leo hii Mbongo anaweza kwenda SA na kesho akanunua nyumba provided sio illegal, na Jtatu akageuza!! Atatakiwa ku-apply extended visa only if kama anatarajia kuishi kwa zaidi ya siku ya siku 90 vinginevyo
hana sababu hiyo!!!
Kitu tofauti kabisa atakachotakiwa kufanya ni kujisajiri kama mlipa mlipa kodi wa SA kwa sababu mauziano ya nyumba yanaenda na kodi, na labda hapo baadae atalazimika kuiuza!!
Na sio hivyo tu, kwa Mbongo anaweza kununua nyumba SA bila hata kwenda huko SA.
Muongo mkubwa we![emoji57][emoji57][emoji57]Labda kama unazungumzia Sheria za enzi za Makaburu kinyume chake, maelezo yako hayana ukweli wowote hususani kwa mtu kama Diamond (Tanzanian national)!
Wanachoangalia ni visa status yako na nchi unayotoka... I mean, kama una stahiki kuingia na kuishi SA!!
Kwavile Mtanzania anaweza kuingia SA bila viza na kuishi up to 90 days, leo hii Mbongo anaweza kwenda SA na kesho akanunua nyumba provided sio illegal, na Jtatu akageuza!! Atatakiwa ku-apply extended visa only if kama anatarajia kuishi kwa zaidi ya siku ya siku 90 vinginevyo
hana sababu hiyo!!!
Kitu tofauti kabisa atakachotakiwa kufanya ni kujisajiri kama mlipa mlipa kodi wa SA kwa sababu mauziano ya nyumba yanaenda na kodi, na labda hapo baadae atalazimika kuiuza!!
Na sio hivyo tu, kwa Mbongo anaweza kununua nyumba SA bila hata kwenda huko SA.
He he he [emoji28] umestukiaHuu mwandiko sio wa kiume
🤣🤣🤣🤣🤣Hafanyi umalaya ni msichana anayejitambua sana na mwenye msimamo mkali, akipenda kakupenda kwa dhati, anapenda show off lakini ziwe real sio fake. Yule bwana wake wa kwanza walipendana sana, jamaa alivopata mafanikio makubwa akaanza kumistreat Zari ikiwa ni pamoja na kumpiga, kudate na madem wengine waziwazi, Zari akambwaga jamaa, na hata alipotaka kurudi akamkazia, na ili kumuonesha kuwa hamtaki tena, akaanza kudate na Dai na kumzalia watoto kabisa, jamaa akafa kwa pressure 😂😂😂. Alichokifanya Ivan na Diamond kakifanya, Zari hatomrudia Diamond anachoangalia ni malezi ya watoto tu ila asha move on........ Hana umalaya hata chembe ila ni mwanamke anayetambua thamani yake.
Na sisi wanaume tuombe wanawake wote wasijitambue, Siku wakijitambua na kujua thamani yao, nusu ya wanaume tutakufa ndani ya mwezi mmoja.
Anafikiri maadam Sauzi imo ndani ya SADC basi mambo yake ni kama sera za Bongo..Labda kama unazungumzia Sheria za enzi za Makaburu kinyume chake, maelezo yako hayana ukweli wowote hususani kwa mtu kama Diamond (Tanzanian national)!
Wanachoangalia ni visa status yako na nchi unayotoka... I mean, kama una stahiki kuingia na kuishi SA!!
Kwavile Mtanzania anaweza kuingia SA bila viza na kuishi up to 90 days, leo hii Mbongo anaweza kwenda SA na kesho akanunua nyumba provided sio illegal, na Jtatu akageuza!! Atatakiwa ku-apply extended visa only if kama anatarajia kuishi kwa zaidi ya siku ya siku 90 vinginevyo
hana sababu hiyo!!!
Kitu tofauti kabisa atakachotakiwa kufanya ni kujisajiri kama mlipa mlipa kodi wa SA kwa sababu mauziano ya nyumba yanaenda na kodi, na labda hapo baadae atalazimika kuiuza!!
Na sio hivyo tu, kwa Mbongo anaweza kununua nyumba SA bila hata kwenda huko SA.
Hahaha!!! Tafuta pesa, tiketi nitakulipia mwenyewe uone kama hujanunua nyumba just within a week bila kuwa na kibali cha ukaazi!! Unajua SA ilitokea construction boom ambayo hawakuwa na budi zaidi ya kutoweka masharti ya kipuuzi!!Muongo mkubwa we![emoji57][emoji57][emoji57]
Tena nakumbuka wakati ule NHC wamejenga nyumba kibao zikawa zinakosa wanunuzi, JK aliwahi kushauri kuangalia uwezekano wa kubadili sheria zetu! Nadhani kwa nyumba za NHC, sheria ilikuwa au still inakataza foreignor kununua nyumba kwa sababu ni mali ya serikali!!Wewe una akili kama zangu.hata sheria za kodi za Tanzania na sheria za nchi zinaruhusu non-resident kumiliki nyumba ila anatakiwa asajiri kama investor na sio individual.
Binamu hata mimi nimeku-miss hadi najisikia kuugua! Nikishauza ufuta wangu na kuja Dar es salaam itabidi nikutafute binamu!Binamu nilikumic
I trust you dear, jus provoke a little bit[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]Hahaha!!! Tafuta pesa, tiketi nitakulipia mwenyewe uone kama hujanunua nyumba just within a week bila kuwa na kibali cha ukaazi!! Unajua SA ilitokea construction boom ambayo hawakuwa na budi zaidi ya kutoweka masharti ya kipuuzi!!
Tangu lini chawa wakawa na akili ?Nyie huwa hamna akili?? mbona mnamsifia sana
And I knew you didn't mean it cuz' I also know you have no gut to tell your big brother "you're lying"!I trust you dear, jus provoke a little bit[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji120][emoji120]And I knew you didn't mean it cuz' I also know you have no gut to tell your big brother "you're lying"!