ZARI: Hakuna kitu ninachokipenda katika maisha yangu kama kuzaa

Uwezo wa kuwatunza wanao acha tu wazae dunia ijae hongera sana Mama zari Hongera sana Diamond [emoji815] kupata mke mwema
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Watu wanashangaza sana! K yake kugegedwa anagegedwa yeye, tafrani za ujauzito anazijua na hajaomba 'ntu' amsaidie, uchungu wa kujifungua anaujua, gharama za kulea anazijua na hajaomba msaada kwa yeyote yule lakini bado kuna watu watalalamika tu!
Na kama angekuwa anawaomba wamsaidie kugawana machungu ya labor au adha za kulamba ndimu na kufakamia pemba sijui ingekuwaje !
 
Reactions: BAK
Kwani njia za uzazi wa mpango hakuna?
BTW kwetu tupo watatu tu, my mama ni role model wangu katika suala la uzazi.
So nitatumia siri ya mama ya uzazi wa mpango.
Period
Kama Hujawahi Kuzaa, Una Uhakika Gani Kama Utapata Hata Huyo Mmoja ?
 
Naona Huyu wa sasa hivi kakosa kiki kama wa mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23] hana lolote aseme anapenda kuzaa na watu wenye nazo...mbona hakuzaa na farook??
 
Wameoana au ni watt wa nje ya ndoa??watt wa haramu hawana ladha
 
Wapi wewe tumelala na wanawake kibao walizowazaa watoto wengi na hali halisi tunaijua.

Kwetu tumezaliwa wawili ndio.


Sasa ulimuuliza babaako kama mashine ya Bi Mkubwa wako iko tight, au ulijuaje?
 
Azae kwa raha zake kama kuzaa kuna mpa raha azae kwa amani na salama...
 
Azae tu..................... kuna wenzake wamekosa vizazi wanahaha kwa waganga bila mafanikio.................
 
Mtaji wake tumbo lake .. Huyu bibie anaakili sana kwa style hii hafilisiki ng'o jamaa angekuwa na akili kama mm ningemuuliza why nyumba south na isiwe hapa hapa dar ?
 
Anatimiza maneno ya mkuu aliposema watu wafyatue tu .serikali ina pesa yakutosha .
 
Mwenyewe napenda watoto wengi. Ajizalie tu coz uwezo na uzazi anao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…