ZARI: Hakuna kitu ninachokipenda katika maisha yangu kama kuzaa

ZARI: Hakuna kitu ninachokipenda katika maisha yangu kama kuzaa

Kuzaa ni hatua ya mwisho, angesema anapenda kile ambacho zao lake ni mtoto.
 
China utafungwa shemeji... Kumbe interest yako kuzaazaa tu shemeji daaah..so yyte akija poa tu..haya bwn
 
Wakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda zaidi katika maisha yake ni kuzaa.

Zari ambaye ni mpenzi wa mwanamziki nyota Africa diamond platnumz amesema hayo ikiwa ni siku chache tangu apate mtoto wa kiume aliyezaa na diamond ambaye watu walimbeza kuwa anazaa bila mpangilio eti kiza tu alibeba ujauzito kabla ya mtoto wao wa kwanza tiffah hajatimiza mwaka mmoja.

Licha ya zari kuwa na watoto watano kwa sasa ameweka wazi kuwa kwa sasa yeye na diamond wana mpango wa kuzaa mtoto mwingine wa tatu na baada ya hapo hatozaa tena na badala yake watajikita zaidi katika kuwalea watoto wao.
Kwani angesemaje. Huyu ni mjadiria mali. Akikanusha itakuwa mengine.mwache atengeneze hela kwa kuzaa. Watoto ndio mtaji kwake
 
K yake ni mpira au?
Hebu acheni kuwatusi mama zenu na bibi zenu hapa waliowazaa !
Suali gani hili unauliza?halafubukitembelea kwenu wewe na wadogo zako 6 huwa hiliswali linakujia juu ya mzazi wako? Hapa we dare to speak openly but haimaanishi tuwakosee heshima wanawake kwa kufanya kile Mwenyezi Mungu amejaalia kwa maumbile yao !taadabu we mpuuzi Zari anaweza kuwa mwanamke tu kama mwanamke mwingine lakini hata mama yako huenda amekuzaeni zaidi ya wanne bado unafikiri hoja yako ya kihanithi ina mashiko?
 
Back
Top Bottom