“Zari Hassan Aborted My Kids,” Farouk Sempala

mwanamke kama huyo siwezi kuishi naye hata wiki moja. labda kama ni mchepuko ila singekuja kumuita wife hata siku moja.
mwanamke kama huyo siwezi kuishi naye hata wiki moja. labda kama ni mchepuko ila singekuja kumuita wife hata siku moja.
Unajua wengine hawapendi iwe hivyo mkuu,ila wanajikuta tu wanawafolenisha,yawezekana alipigwa chini na hao jamaa baada ya wao kupata walichotaka,hivyo anajaribu kuhamia kwengine akiwa na matarajio makubwa ya kuwa na uhusiano utakaodumu,lakini mwisho wa siku ni vile vile kama waliotangulia.kwa hiyo unaweza kumuona malaya lkn hakupenda iwe hivyo mkuu.
 
Hivi kuna njemba yoyote yule demu wake hajapitia? Au kaoa kamkuta demu wake bikra. Ukifata hayo hutaoa lazima ukute watu wamemega tu
 
Mla Mla leo Mla jana..... Almasi is the Man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…