Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

ni vigumu sana kupata topic za ukawa na ccm kwenye hii forum,sema na wewe ni utumbo sana kusoma habari za le mutuz

We msaga sumu usimtie hasira babu yangu ukamfanya akaombe kupiga picha na mbebez tiffah...
 
Siasa katika celeb forum acheni u kanyaboya

Kwani imekuwaje kwenye huu uzi rafiki angu! Siku hizi napitwa na mengi! Nimesoma naona CCM, Ukawa, Lipumba, Princess tiffah mhhh mambo kibao! Vepee
 
Hahaahahhaha thread imevurugwa balaaa. Siasa na celebrity wapi na wapi.

Mtoa mada pole mkuu watu wanaonekana unawaboa.

Anawaboa kwani amewamention waje! ? Viherehere tu na kutafuta attention, ni lazima kila mtu ajadili ya Ukawa na CCM? Tumeshajiandikisha inatosha tukutane October.
 
Ebu niache bwana!
Domo na kimba lipi neno zitto??
Afu usiniongeleshe kiingereza, shule ulinilipia ada??
Afu wewe sio wa kuongea ustaarab.
Wacha unafiki.
Dada inaonyesha unahasira sana na Chibu vp wewe ni Wema au Joketi nini mana unakasirishwa na visivyokuhusu kama Chibu kabambikwa wewe kinakuuma nini utapungukiwa na nini ??????????? acha hizo keshakuacha fanya maisha yako na hakurudii tena.
 
Huyo Pinto mtoto wa Zari wa Kwanza alipokuwa kichanga...

Huyo king ni chizi tu maumivu hayajapungua mpaka leo anajuwa atawadanganya wapuuzi kama wewe

Kuna watu wakifanya kitu inabidi uwasikitikie tu, sasa huyo Lawrence kaliokota lipicha huko kalitundika kwenye page yake na kuandika li caption la ajabu hivyo haoni aibu? Dai na Zari wametulia wanawacheka tu maana hata picha ya mtoto hakuna mwenye nayo. Mambo mengine aibu aiseee......
 
Dada inaonyesha unahasira sana na Chibu vp wewe ni Wema au Joketi nini mana unakasirishwa na visivyokuhusu kama Chibu kabambikwa wewe kinakuuma nini utapungukiwa na nini ??????????? acha hizo keshakuacha fanya maisha yako na hakurudii tena.

Buha ha haaaaaaa!
Mimi ndo Wema na joketi.
Kinaniuma sana kichwa kuachwa.
Nakasirishwa sanaaaaaa
Na atanirudia soon..
Hapo vepee?!
 
Buha ha haaaaaaa!
Mimi ndo Wema na joketi.
Kinaniuma sana kichwa kuachwa.
Nakasirishwa sanaaaaaa
Na atanirudia soon..
Hapo vepee?!
Eti Wema naomba nikuulize hivi ile nyota uliyokuwa unajisifu Chibu anasafiria wewe mwenyewe haiwezi kukusaidia wala kile kimsanii chako ??????????
 
Eti Wema naomba nikuulize hivi ile nyota uliyokuwa unajisifu Chibu anasafiria wewe mwenyewe haiwezi kukusaidia wala kale kimsanii chake ??????????

Maswali ya kijini jini kama haya siwezi kuyajibu.
Vipi unajihisi una undugu na latifah?? Au mashauzi tuu??
 
Baby tiffah


Roho inakuuma utazani nawe ulimpa yako ajaribishe kuona kama italeta kitu duniani

wivu umekujaa hadi ulipokaa panakuwasha

kalee wako au kamuombe Mungu akupe maana dunia hii chochote huja

Muogopeni Mungu

kwa kiki aaaghhh wanayo haswa

Selebu kapo wa juu Afrika, hakunaga eti au?
 
Huyo Pinto mtoto wa Zari wa Kwanza alipokuwa kichanga...

Huyo king ni chizi tu maumivu hayajapungua mpaka leo anajuwa atawadanganya wapuuzi kama wewe


jamaa wenu anapenda sifa ataumbuka vibaya anashindana na watu wenye pesa zao ivan kasema anataka DNA ila daimond kumpa demu mimba ni sawa taifa stars kushiriki world cup
 
mi nawaambia hivi siku daimond(domo) akimpa mwanamke mimba tanzania inachukua world cup huo mwaka coz umalaya wote huo hata wakusingiziwa hana
1.nay (watoto watatu kila mmoja mama yake)
2.sheta (baba kaylah
3.temba,madee ,tunda ,belle tisa wote wana watoto barnaba nk.
note :kaiskilize nyimbo ya "NIKIFA KESHO YA DAIMOND" halafu urudi kuchangia hapa pumbavuu
 

Wivu wa kike...mmtanyooka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…