Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

pointless kwa hiyo domo anapendwa zaidi afrika kuliko wizkid na davido?
 
mkuu unaupinga ukweli ni kwa nn aliimba ule wimbo na kwa nn hakuotoa officiall jiongeze sio kila kitu unatetea nyambaafu na kwenye muziki gani ya ney alivyomwambia "q chillah analalama anasema umemroga ,mganga wako alokutoa umekimbia hujamlipa" je huoni kwamba kuna kitu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…