Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)


We si bure utakuwa ni mchawi umejuaje kama mimi nina bichwa kubwa ??????? Kwa sasa ukitaja " domo" ni kama umezitaja a.k.a zake zingine na ndo unazidi kumpromoti,na hao unaowafagilia wewe sijui ndo wenye midomo mizuri hawamuingii huyo "domo" kwa lolote si kwa tuzo,si pesa, si kwa matamasha,si kwa kuuza t shirt, si kwa kupiga dili za matangazo, si kwa umaarufu na hata kwa kupendwa zaidi na watu wengi barani Africa kuliko wasanii wote TZ na Africa mashariki kwa ujumla
pointless kwa hiyo domo anapendwa zaidi afrika kuliko wizkid na davido?
 
Mkuu cjajua unachotaka kukisema ila kama unaitumia iyo nyimbo kama ni reference kuwa dai hazai/hana uwezo wa kuzaa utakuwa umefeli sana aise....
Hakuna sehemu dai kasema kwenye huo wimbo kuwa hana uwezo wa kuzaa au wakati anasema hana hata mtoto wa kucngiziwa hakuna sababu ya kuwa yeye hazai miongoni mwa sababu alizozitaja kweny huo wimbo
"wengi wao walinambia ngoja ngoja eti vumilia,na wengine walikataa kabisa tuzae,wakinambia eti muda wao haujawadia nitawaaribia ujana...wengine pia baada ya pesa zangu wakakimbia niliumia sana"
mkuu unaupinga ukweli ni kwa nn aliimba ule wimbo na kwa nn hakuotoa officiall jiongeze sio kila kitu unatetea nyambaafu na kwenye muziki gani ya ney alivyomwambia "q chillah analalama anasema umemroga ,mganga wako alokutoa umekimbia hujamlipa" je huoni kwamba kuna kitu hapo
 
Back
Top Bottom