Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Hongera zao...hiyo ni shughuli pevu 🙂
 
Diamond amenitumia picha sasa hivi kwenye namba yangu ya whatsapp nikiamka nitaziweka

Ahahah binamu katika ubora wake, nimekumis sana jombaa, mi toka jana domo alinitumia video wakat zar anajifungua ninayo
 
Hongera sana kwao kwa kupata little princess. Mungu awakuzie

Mwenzangu nataka kujiandaa jumamos tumpelekee zawad zari tukapate kumuona na mtoto , tujichangen jaman tupelek zawad kwa domo
 
Hatimaye unaitwa baba, hongera sana. Be a good dad.
 
Domo akidanja leo huyo mtoto harithi hata kijiko cha chai
 
Ama kweli dunia ina mambo! Wakati wengine wapo Instagram kwa zaidi ya mwaka mmoja lakini hawajatimiza kupata angalau followers 1000, Mtoto wa Diamond Platnumz & Zarina Hassani, tayari ana Followers zaidi ya 20,000 chini ya saa 24! Mbaya zaidi, idadi ya followers inamiminika kama njugu kiasi kwamba, hadi kesho mida kama hii, kuna uwezekano akawa ametimiza Followers 100,000.

 
Iki ndo kizazi cha digitale, mtoto anazaliwa na kufunguliwa IG account doh
 
Iki ndo kizazi cha digitale, mtoto anazaliwa na kufunguliwa IG account doh

kawaida tu mkuu maana wa
qylla wa shetta anayo
Prince unju wa kiba anayo
Wa aunt ezekiel anayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…