Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Kumekucha Sasa Hivi, Hicho Ni Kishindo Cha Awamu Ya Tano. Pongezi Kwa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania. Mpaka Hao Wamekuja Leo November 05
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜‚
 
Zari imebidi arudi kwa diamond maana alishaanza kusahaulika, diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah. Atleast hao watoto wataona baba yao maana ugomvi wa wazazi uliwaathiri bure watoto wasio na hatia
 
Zari imebidi srudi kwa diamond maana alishaanza kusahaulika, diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah. Atleast hao watoto wataona baba yao maana ugomvi wa wazazi uliwaathiri bure watoto wasio na hatia

Nimefurah kama nini Zari kurudi kwa domo, abebe tena mimba nyingine, Piga kelele kwa zari akeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…