Roli modo[emoji1787][emoji1787]
Hahaaa[emoji23]Naiheshimu sana Jf......[emoji119]
Alijiona kujipoza machunguKwani zari si aliolewaga jamani! ndoa na king bae ilipotelea wapi?
Umeongea carihaZari imebidi arudi kwa diamond maana alishaanza kusahaulika, diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah. Atleast hao watoto wataona baba yao maana ugomvi wa wazazi uliwaathiri bure watoto wasio na hatia
🤣🤣🤣🤣🤣Kwani zari si aliolewaga jamani! ndoa na king bae ilipotelea wapi?
warumi naona hapo meno yote njeZari the bosslady kashatua mjini, swali je atafikia Mbezi Beach kwa domo au hotelini?
View attachment 1620085View attachment 1620086
Kina drama sana [emoji16]Huyu mwanae wa kiume anaonekana very cool
Ila Tiffa yupo kama bibi yake...[emoji23][emoji23]
Numbi vip tena![emoji1787][emoji1787][emoji16]Angejituliza south kujitafutia presha tu.
#Kirangakomo
Watoto kisingizio kaleta K kwa Domo[emoji16][emoji16]Presha ya nini binamu? Si anawaleta watoto kwa baba yao Jamani
Acha hizo domo hamtakiNimefurah kama nini Zari kurudi kwa domo, abebe tena mimba nyingine, Piga kelele kwa zari akeeeee
Ndoa? We umedata eeh[emoji16][emoji16][emoji16]Anarud kwa mumewe, Diamond kamis pisi kali , kammis Mke wake original wa ndoa
Ila Zari anaheshimika bwana , raha ya ndoa upendwe na Mama mkwe buana.
Kenya airways hii ndo maseat yao kama bus vile[emoji16][emoji16][emoji1787]Hiyo ndege sijui shirika gani wana seat za kawaida hivo. Hata ingekuwa economy class
Huwezi pewa vyote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hachelewi kubeba mimba nyingine. Napenda akili zake za kusaka hela ila kwenye mapenzi hana bahati
AsubutuuuuuuAjitulize tu hotelin ..aepuke kunguni.
Kumbe na wewe unawajua hawa daladala wa anganiKenya airways
Zari imebidi arudi kwa diamond maana alishaanza kusahaulika, diamond awe makini Sana na zarina kwa sasa kwa aliyomtendea wanawake hawasahau wallah. Atleast hao watoto wataona baba yao maana ugomvi wa wazazi uliwaathiri bure watoto wasio na hatia
Mama tee ameona arudi kwa domo alishaanza kusahaulika na anavopenda umaarufu sasa.