Anapenda umaarufu Sana zari baada ya kuona anasahaulika kakubali yaishe tu. Diamond mahusiano yatakuja kumuua tangu wagombane na zari Hadi nuru ilimuishaYaan anapenda media mno kwa yalotokea angetuma tu watoto lakin kamis dram na dudu
Ngoja wamtumie ku kiki wakimchoka apigwe matukioYap na ataumizwa tu tenaa maskin [emoji2303]
Ofcourse Zari ni clout chaser , she is here for that , enterview kila Kona , Zari is back on her level sasa
Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]Yaan anapenda media mno kwa yalotokea angetuma tu watoto lakin kamis dram na dudu
Huyu zari mpenda umaarufu atabeba na mimba nyingine inaonyesha kashamusamehe diamond
Amsamehe na nini sasa?Huyu zari mpenda umaarufu atabeba na mimba nyingine inaonyesha kashamusamehe diamond
Kwani zari si aliolewaga jamani! ndoa na king bae ilipotelea wapi?
Hii kiki lazima irudishe gharama za usafiri[emoji16][emoji16]Hii kiki lazima domo atoe ngoma siku mbili tatu zijazo. Kiki lazima i push track mpya.
Aaah we dada upo jomoni[emoji848][emoji848][emoji26]Kwani zari si aliolewaga jamani! ndoa na king bae ilipotelea wapi?
Ngoja wamtumie ku kiki wakimchoka apigwe matukio
Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]
Amsamehe na nini sasa?
Huyu kajileta mwenyewe na boarding pass kajilipia[emoji16][emoji16][emoji16]
Na kujifanya yy ndo anapendwa kuliko wote
Akili za wanawake bana[emoji848]
Hapana aisee. Tifa hata kama ni mdogo still ni msichana uncle wake hawezi mpeleka washroom. Wale ni watoto huwez wapeleka kama mzigo tu isitoshe unavuka nchi sio kama unatoka ilala unaenda temeke. Mimi kama mama sishangai zari kuwaleta watoto wake nchini.Tatizo wapi?
Pia ana mdogo wake wa kiume mkubwa angewaleta lakin bibie kwa camera kamsahau hadi kingbae
Sawa mama ππππππππHapana aisee. Tifa hata kama ni mdogo still ni msichana uncle wake hawezi mpeleka washroom. Wale ni watoto huwez wapeleka kama mzigo tu isitoshe unavuka nchi sio kama unatoka ilala unaenda temeke. Mimi kama mama sishangai zari kuwaleta watoto wake nchini.
Camera zenyewe ndio zina shobo kama mtu ukiamua ku mind your own business zari atatrend saa ngap.
Mi nashangaa, hivi Bi tukinao hajui kuwa pale anatumika?Mama dangote hapendi yeyote anamtumia tu zari basi
Wanawake akili zetu hazieleweki hapo zari kajazwa kua anaoendwa daimond alipitiwa tu na yeye kavimba kabisa licha ya kuwa mkubwaNa kujifanya yy ndo anapendwa kuliko wote
Akili za wanawake bana[emoji848]
Wote wanafiki esma kawa mpole baada ya kuolewa na kuachika ghafla bin vuuNakuambia na mama dai kuchambwa na zari ilisaidiaa wanafiki hiyo familia hawana salia mtume
Ila story ya esma kama ni kweli inachekesha sana[emoji23]Wote wanafiki esma kawa mpole baada ya kuolewa na kuachika ghafla bin vuu
Shida umaarufu ni mubaya zari atategesha mimba nyingine kabisa huyu ili aongeleweAmsamehe na nini sasa?
Huyu kajileta mwenyewe na boarding pass kajilipia[emoji16][emoji16][emoji16]