Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Karma ya esma imeanza mapema Sana haijachelewa inaonyesha alikuwa jeuri kisa kakake maarufu sasa msizwa kamnyoosha kweli.
Na kilicho mfamya aende kuolewa mke wa tatu nini na huyo mwanaume ana nguvu gani za kuwaridhisha wote zaidi ya kuwachafua chafua tu hovyo
Mzee wa kete
 
mnaongelea mimba tu mwenzenu mathematic anajua kuna fungu nene Diamond kachukua kule chamwino,mtu wetu anapigwa chase ingine akishtuka bibie kashaondoka na jokeri kesho utaona kitu kinawekwa south kalagabaghoini.
Ndio hicho kilicho mleta nyuma zari na mimba atategesha tena, jinsi diamond alivo mpiga matukio moyoni ana machungu bado
 
Katika harakati lazima uwe na kaeneo kako maalumu ka kujidai. Mkuu warumi kajitengenezea kaempire kake ndani ya jukwaa hili. He/She runs this town

Ahahaha mganga wangu kiboko sana[emoji16][emoji16], ahsante binamu [emoji177]
 
Mwishowe sasa anakosa mwanaume inabidi ajirudishe tu kwa Diamond sasa

Wamerudiana hajajirudisha , Jaman warumi leo Nina raha mwenzenu , Niko zangu nakunywa tu Hennessy chumban , Zari ashike tu mimba nyingine , pesa za Kulea tunazo hatutaki child support sie[emoji23]
 
Zari Sijui kwa nini hajatokea kwa hii picha watu waalishe, mi napendaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_8410.jpg
 
Nimeona watangazaji wanamuhoji mtoto wa Zari. Aisee lugha ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom