witnessj Anatumika kivip?Mi nashangaa, hivi Bi tukinao hajui kuwa pale anatumika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
witnessj Anatumika kivip?Mi nashangaa, hivi Bi tukinao hajui kuwa pale anatumika?
Kiongooo hicho mmmh[emoji16]Binamu, nimemsikia anasema am here because of kids.....
Mzee wa keteKarma ya esma imeanza mapema Sana haijachelewa inaonyesha alikuwa jeuri kisa kakake maarufu sasa msizwa kamnyoosha kweli.
Na kilicho mfamya aende kuolewa mke wa tatu nini na huyo mwanaume ana nguvu gani za kuwaridhisha wote zaidi ya kuwachafua chafua tu hovyo
Ndio hicho kilicho mleta nyuma zari na mimba atategesha tena, jinsi diamond alivo mpiga matukio moyoni ana machungu badomnaongelea mimba tu mwenzenu mathematic anajua kuna fungu nene Diamond kachukua kule chamwino,mtu wetu anapigwa chase ingine akishtuka bibie kashaondoka na jokeri kesho utaona kitu kinawekwa south kalagabaghoini.
Esma pole yakeMzee wa kete
Mwishowe sasa anakosa mwanaume inabidi ajirudishe tu kwa Diamond sasa
Kweli kabisa huyu mama anahangaika! Dai angetaka kuwaona watoto angeenda south ila yeye anajionaga special kumbe anaonekana desperate.Angejituliza south kujitafutia presha tu.
#Kirangakomo
[emoji23][emoji23][emoji23] noma Sana hiiWamerudiana hajajirudisha , Jaman warumi leo Nina raha mwenzenu , Niko zangu nakunywa tu Hennessy chumban , Zari ashike tu mimba nyingine , pesa za Kulea tunazo hatutaki child support sie[emoji23]
Ni PM details zake atakua fundi sana 😊😊😊Ahahaha mganga wangu kiboko sana[emoji16][emoji16], ahsante binamu [emoji177]
Warumi ninakuaminia. Mfalme wa wambea. Umeshafika chumbani🤣🤣🤣🤣🤣🤣Zari Sijui kwa nini hajatokea kwa hii picha watu waalishe, mi napendaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1620615
Yeye ndo mpiga pichaZari Sijui kwa nini hajatokea kwa hii picha watu waalishe, mi napendaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1620615
" Tiffah what have been south to tanzania have been" tiffah yuko haaaa[emoji849][emoji849]Nimeona watangazaji wanamuhoji mtoto wa Zari. Aisee lugha ni changamoto sana.