Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Daaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...

Nina ma x- wawili wote wana mtoto mmoja mmoja lkn hawajazaa huko walikoenda, ni matasa, sasa naona wanatumia watoto kutaka kuja!!! mmoja kanipa na hela kabisaaa tena nyingi tu!!!
Duh!
 
Leo Nina raha warumi mie Jaman khaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona clip waandishi wanamuhoji tifa,wanauliza maswali ya kipuuzi broken english balaa.
Sijui walijua ni mai zumo mana ndio hajui lugha
 
Picha za mtandaoni kibokoo zari mnene balaa
Ndo maana anajistukia!

Yaan ye mgeni lkn anaongea kuliko wenyeji[emoji848]

Limkono sasa![emoji15] Ile shape hata nayo haionekani yaan ni kaumuka balaa

Halafu mbona domo hana raha kabisa!?

Huu ugeni Dai aliubariki kweli? Au ni ma dangote katuma nauli? Hana raha kabisa jamaa kama kafosiwa hivi
 
Ndo maana anajistukia!

Yaan ye mgeni lkn anaongea kuliko wenyeji[emoji848]

Limkono sasa![emoji15] Ile shape hata nayo haionekani yaan ni kaumuka balaa

Halafu mbona domo hana raha kabisa!?

Huu ugeni aliubariki kweli? Au ni ma dangote katuma nauli? Hana raha kabisa jamaa kama kafosiwa hivi
Hivi huwa anatumia application gani kuji edit hafu kumbe ni mfupi na bonge hivo ig akipost kiuno mdogo. Kweli usione mtu mtandaoni ukatamani uwe ka yeye utaumia
 
Daaah!! Umenifungua akili sana, wewe Dada, ni kadogo lkn kameingia uzuri, unatumia kinywaji gani tafadhali chukua hapo kwa Mpemba...

Nina ma x- wawili wote wana mtoto mmoja mmoja lkn hawajazaa huko walikoenda, ni matasa, sasa naona wanatumia watoto kutaka kuja!!! mmoja kanipa na hela kabisaaa tena nyingi tu!!!
Ni kuwa makini wanawake twaweza ishi na mtu hatumpendi na huwa hatusahau machungu so ukiona anajirudisha ana lake jambo, na ukicheza wanakuharibia mahusiano yako mapya
 
Hivi huwa anatumia application gani kuji edit hafu kumbe ni mfupi na bonge hivo ig akipost kiuno mdogo. Kweli usione mtu mtandaoni ukatamani uwe ka yeye utaumia
Jitahidi uende mlimani city pale hakosi utajionea mwenyewe, kipindi cha gsmall alivyokuja nilichoka, nikasema ndo huyu wa mitandaoni!

Ni mfupi, usoni anajitandika heavy bright makeup, halafu live anakosa confo kabisa full heshima [emoji16][emoji16], kamkute mitandaoni sasa full kutuchamba kuwa sisi ni vilaza[emoji848][emoji849]
 
Jitahidi uende mlimani city pale hakosi utajionea mwenyewe, kipindi cha gsmall alivyokuja nilichoka, nikasema ndo huyu wa mitandaoni!

Ni mfupi, usoni anajitandika heavy bright makeup, halafu live anakosa confo kabisa full heshima [emoji16][emoji16], kamkute mitandaoni sasa full kutuchamba kuwa sisi ni vilaza[emoji848][emoji849]

Umeona dai alivyo busy na tiffa tu [emoji2303][emoji2303][emoji2303]
 
Nimeona clip waandishi wanamuhoji tifa,wanauliza maswali ya kipuuzi broken english balaa.
Sijui walijua ni mai zumo mana ndio hajui lugha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile clip nlicheka hatareeeh, waandishi wanatoa broken English shishi mwenyewe akasome lol
 
Wewe unaweza watuma watoto wako kweli?[emoji849]
Sijui ni akili yangu ama?? Naona zari hajakosea kuwaleta watt wake kwa baba yao. Na huwez kuwaleta nikaondoka ama ukawa hotelin ikiwa wanakuja kwa baba yao. No ngumu sana kumleta mtt kwa baba day utakaa hotelin wakati nyumban wapo where they can feel comfortable and have their freedom. WAtu wanadhani anatafuta kuongelewa vipu kwan tika aachane na chibu hajaishi maisha bora zaidi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile clip nlicheka hatareeeh, waandishi wanatoa broken English shishi mwenyewe akasome lol
[emoji16][emoji16]walijua wanaongea na mai zumo wa uswahilini
 
Back
Top Bottom