Kweli Kuna watu hawakui aiseeYaan utaona soon mimba nyingine
Hivi kaachika, mbona leo insta story naona kakumbatiana na drug dealer wake [emoji848]Wote wanafiki esma kawa mpole baada ya kuolewa na kuachika ghafla bin vuu
Kugeuza mimba na watoto kitega uchumi[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji28]Shida umaarufu ni mubaya zari atategesha mimba nyingine kabisa huyu ili aongelewe
Esma anaficha tu naskia alikuwa anadundwa hatari Hana hamu hapo alipo kaachika na hataki kutangaza mtamcheka.Hivi kaachika, mbona leo insta story naona kakumbatiana na drug dealer wake [emoji848]
Kaachika nampa pole sijui ndo karma inamkula maana bwana ana dunda esma Hana hamu, Ila yeye esma alipania sherehe na magauni kuliko kutunza ndoaIla story ya esma kama ni kweli inachekesha sana[emoji23]
Mi nashangaa, hivi Bi tukinao hajui kuwa pale anatumika?
Wanawake akili zetu hazieleweki hapo zari kajazwa kua anaoendwa daimond alipitiwa tu na yeye kavimba kabisa licha ya kuwa mkubwa
Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?Esma anaficha tu naskia alikuwa anadundwa hatari Hana hamu hapo alipo kaachika na hataki kutangaza mtamcheka.
Wote wanafiki esma kawa mpole baada ya kuolewa na kuachika ghafla bin vuu
Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?
Acha yamkute[emoji848][emoji57]
Kwanza toka lini ukewenza mrefu kama sindano ya mtumba ukadumu? Eti mke wa tatu,nyoooo[emoji15][emoji15][emoji849]..
Binamu, nimemsikia anasema am here because of kids.....Nimefurah kama nini Zari kurudi kwa domo, abebe tena mimba nyingine, Piga kelele kwa zari akeeeee
Sasa yeye anaamini kumzalia mwanaume haraka ni kumkeep asikimbie kumbe wanaume hawawazi Kama sisi.Kupitiwa ndio kuzaa kote huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Karma ya esma imeanza mapema Sana haijachelewa inaonyesha alikuwa jeuri kisa kakake maarufu sasa msizwa kamnyoosha kweli.Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?
Acha yamkute[emoji848][emoji57]
Kwanza toka lini ukewenza mrefu kama sindano ya mtumba ukadumu? Eti mke wa tatu,nyoooo[emoji15][emoji15][emoji849]..
Ndoa haijafika mwezi Mimi naona aachane tu kuolewa aiseeHivi kaachika kweli??
Ndo zake zinakaagaa miezi miwili tu eee wana midomo mno
Mwishowe sasa anakosa mwanaume inabidi ajirudishe tu kwa Diamond sasaKugeuza mimba na watoto kitega uchumi[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji28]
Ila we dada unamuita mtu domo[emoji23][emoji23] as if hana Jina...?Zari the bosslady kashatua mjini, swali je atafikia Mbezi Beach kwa domo au hotelini?
View attachment 1620085View attachment 1620086
mnaongelea mimba tu mwenzenu mathematic anajua kuna fungu nene Diamond kachukua kule chamwino,mtu wetu anapigwa chase ingine akishtuka bibie kashaondoka na jokeri kesho utaona kitu kinawekwa south kalagabaghoini.Huyu zari mpenda umaarufu atabeba na mimba nyingine inaonyesha kashamusamehe diamond