Zari na wanaye (Tiffa na Nillan) watua Tanzania

Wanawake akili zetu hazieleweki hapo zari kajazwa kua anaoendwa daimond alipitiwa tu na yeye kavimba kabisa licha ya kuwa mkubwa

Kupitiwa ndio kuzaa kote huko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Esma anaficha tu naskia alikuwa anadundwa hatari Hana hamu hapo alipo kaachika na hataki kutangaza mtamcheka.
Na tutamcheka kweli afiche hivo hivo nyanga'au yule, alivyokuwa anamtenda mtoto wa watu Zari? Alifikiri hana roho?

Acha yamkute[emoji848][emoji57]
Kwanza toka lini ukewenza mrefu kama sindano ya mtumba ukadumu? Eti mke wa tatu,nyoooo[emoji15][emoji15][emoji849]..
 
Wote wanafiki esma kawa mpole baada ya kuolewa na kuachika ghafla bin vuu

Hivi kaachika kweli??
Ndo zake zinakaagaa miezi miwili tu eee wana midomo mno
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Karma ya esma imeanza mapema Sana haijachelewa inaonyesha alikuwa jeuri kisa kakake maarufu sasa msizwa kamnyoosha kweli.
Na kilicho mfamya aende kuolewa mke wa tatu nini na huyo mwanaume ana nguvu gani za kuwaridhisha wote zaidi ya kuwachafua chafua tu hovyo
 
Hivi wakuu..huyu Zari naona huwa anaongelewa sana humu,yeye huwa ni msanii wa sanaa gani?au anajihusisha na shughuli gani hasa za kumuingizia kipato?
 
Katika harakati lazima uwe na kaeneo kako maalumu ka kujidai. Mkuu warumi kajitengenezea kaempire kake ndani ya jukwaa hili. He/She runs this town
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…