Hii nguo mchina mbonayule mwanamitindo wake anaemvalisha bado yupo hapo kwa madiba
rangi ya viganja na uso tofauti,nikiikumbuka ile video yake ya ucchi naona hiyo picha nmedanganywa tuAmependeza sana yani sana.
Ila Zari bado anampenda DP na inampa shida sana kumove on. Si angemsamehe tu labda tayari wangekuwa MUKE NA MUME.
Namsalimia binamu yangu MARERE MATONYA popote pale alipo salamu zimfikie,ujumbe arudi Dodoma kumenoga.Hata kwa Ivan watu walisema hivyo. Mapenzi yakiisha yameisha. Msijitese kulazimisha kukomba asali iliyogeuka shubiri