Mama Nasibu Athibitisha kwa Maneno haya
Muda si mrefu sana toka Zari na Diamond Platnumz wamepata mtoto wao wa kwanza kwa jina TIFFA
Kupitia mtandao wa Instagram Mama wa Diamond Platnumz amepost picha ya pamoja akiwa na Diamond Platnumzpamoja na Zari na kuandika "ETI MAMA .K...".
Zari ni Mjamzito tena!!! Mama Nasibu Athibitisha kwa Maneno haya | MISHE MISHE BLOG
unajua gaya anayoyafanya sasa hakuyafanya huko nyuma juu ya umasikini ...mana yake hata smart phone hakua nayo masikini...........leo hii anakatiza na yeye ulaya anayaona mengiDiamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni.Wacha mama 'ale ujana'. Duniani ukishaondoka, hakunaga kurudi.
Mbona yupo sana Instagram au haonekani wapimwenye mimba ndio haonekani ama ahujagundua hilo
Mmh wewe jameni mitaa gani hiyo unakutana na zari tehmitaani..........hata party ya mtoto wa anti hakuwepo.............
Tunabet mwisho mwezi huu ionekane 😀kama vipi tubeti Evelyn Salt