Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama atakuwa mshika dawa Hata simba na yanga wapo watu hao.Diamond amtafutie kazi ya heshima mama yake afanye haya mambo ya kwenye mitandao na kuzunguuka kwenye shoo sijui awaachie kina wema sepetu...maana huyu mama nae anataka umaarufu utadhani kitu gani mara anataka aonekane kwenye videos mara nae aende kwenye shoo mwisho wa siku utakuta anadhalilishwa na vijana bila sababu...mama tulia mwanao akuletee pesa hayo mengine hayaendani na umri wako
Inaonekana huyu mama hamkubali mkwe wakekawaida kunafukutaga
mambo ya kamati hayoHivi seriously mamake domo kaafiki domo atoke na mmama wenye watoto wa3. Hivi katika maisha ya kawaida inaingia akilini?
Au kuna kitu nyuma ya pazia maana naona WCB ni full midada iliyotembea kilometres za kutosha.
Kweli mzee mwenzangu.ada ya mja hunena..................