Tetesi: Zari ni Mjamzito tena!!!

Mama atakuwa mshika dawa Hata simba na yanga wapo watu hao.
 
Mmmh mbona huyo mama kwenye account yake Hana pic ya zar hata moja
 
Hawa watoto na mimba za kuwekwa humu JF mi naona kama wote tunagharimia, maana tunalipia bundle na WiFi zetu kila mwezi.
 
Hawa watoto na mimba za kuwekwa humu JF mi naona kama wote tunagharimia, maana tunalipia bundle na WiFi zetu kila mwezi.
oooooooooooooooppppppppsssssssssssssss
 
Kwani kuna la ajabu hapo?
celebrity mkuu ameona aitumie fursa maana kwa taarifa yako Diamond nadhani hajagusa hata mia kwenye malezi ya Tiffah hivyi ameona muda huu akiwa ana shine atundike ili na wapi apate wadhamini
 
Lile domo la tifa lilivyo kubwa vile na kulegea ka la babake limewanyamazsha wengi..Oohh diamond hazai.Hana uwezo wa kumpa mimba...tunataka dna"huu wimbo sijui uliishia wapi?
Kadri mtoto anavyokua anawaumbua mashangingi wanabaki roho zinauma.
 
Hivi seriously mamake domo kaafiki domo atoke na mmama wenye watoto wa3. Hivi katika maisha ya kawaida inaingia akilini?
Au kuna kitu nyuma ya pazia maana naona madogo wa WCB ni full kutembea na midada iliyotembea kilometres za kutosha. Na huyu rich mavoko sijui ataenda kwa madam benchmark
 
Hivi seriously mamake domo kaafiki domo atoke na mmama wenye watoto wa3. Hivi katika maisha ya kawaida inaingia akilini?
Au kuna kitu nyuma ya pazia maana naona WCB ni full midada iliyotembea kilometres za kutosha.
mambo ya kamati hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…