Zari, pedeshee Katunzi laivu!

Huyu Zari na aliyekuwa mumewe Ivan hawajaachana wanatengeneza pesa kwa kutumia migongo ya watu! mme wa Zari anajua Zari yupo kazini na mimba aliyo nayo Zari ni ya mumewe Ivan! hamtaki mnaacha kama ilivyo ila ukwel ndio huo! hapa mjini Diamond anatumia kama kuwatengenezea watu wengine pesa !! mnao subiri picha za mtoto wa zari hatajifungulia tz na wala hamtaona picha za mtoto! Diamond kaingizwa mjini! hutak unacha!
 

Naona maneno hayo yanajirudia hakuna jipya....nimekuwekea video mbili enjoy...


https://youtu.be/OP0KVY_5_U4

Na

https://youtu.be/oW62WbEEBRA
 
Wewe umejuaje wa katunzi wakati hajazaliwa?

HIi ishu watu wanaizungumzia sana, maskini diamond, kakubali kutawaliwa na umaarufu, yupo radhi kupokea aibu na fedheha, kisa tu umaarufu dah!! Ni sheedah
 
HIi ishu watu wanaizungumzia sana, maskini diamond, kakubali kutawaliwa na umaarufu, yupo radhi kupokea aibu na fedheha, kisa tu umaarufu dah!! Ni sheedah

Nimesoma uzi wote na picha zilizowekwa na mleta mada ni chakachua, kuna mtu kafutwa pembeni kwa Zari.

Ok ila pia nimeona picha za mdau juu kumbe za wiki zaidi ya arobaini zilizopita, sasa mimba alimpa lini na inajulikana pia hawatoki wote.


Picha alizorusha mdau juu umeziona? Ndio hakuna tabu kushikiria hoja ila wengi mnakazania hoja hii bila kuandika sababu kutufanya tuwaelewe. Mnataka kujisikia raha tu kuwa mumeandika kwenye uzi.


Mnavyosema ya katunzi basi shukeni mueleze kwanini? ili mueleweke. Nimekusoma kabla umekuwa unafurahia sana hoja hii kuhusu D kuwa hazai etc. Sasa toa sababu zako ukumbi ni wako.
 
HIi ishu watu wanaizungumzia sana, maskini diamond, kakubali kutawaliwa na umaarufu, yupo radhi kupokea aibu na fedheha, kisa tu umaarufu dah!! Ni sheedah

Ulimsikia alipoongeleaga kujua kuhusu mimba?
 

Nakupa hoja zangu tatu au nne au ata kumi nikiweza

Kwanza, DIamond alivyokuwa na wema alidanganya kuwa alimpa mimba wema ila ikatoka, mara mbil nakumbuka, ila walivyoachana, wema alikana diamond hakuwahi kumpa wema mimba, shaka kwa nini adanganye kuwa kamtia mtu mimba wakati sio kweli? Ina maana haziamini shahaw zake au hajiamin kama anaweza mpa mtu mimba? ,kwa nini adanganye?? Nataka jibu apa

Pili, alivyokuwa na penny pia alisema hvyo hvyo kuwa alimpa mimba hadi akamnunulia brevis ya kwendea clinic, ila walivyoachna, penny akasema diamond hana uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito.na haukuwahi kupewa mimba na diamond , hii kauli wolper aliwahi izungumzia pia kipindi kile walivyoachana, kwa nini adanganye??

Tatu., diamond ana historia ya kutoka na wanawake lukuki ila hajabahatika kupata watoto ata wa kusingiziwa, kuhusu mimba ya zari na katunzi nitarudi
 
Wahenga bana,duh walishasema "Kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala" mara "Kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji"
 
Watu wengine bana ni shida sana.
AU hujasoma topic yote, ndiyo maana ukaambiwa uhusiano ulikuwa ni wa muda mrefu na hizo picha hizo walipiga kitambo dooh!!!!
Mbona hizo picha za zamani? Shingongo bhana hii habari lazima ime haririwa na yule mdada.
 

Haujaleta hoja hapa bali umeleta they said, I heard tena magazetini, redio, gossip etc

Ungekuja na kitu kama alipima na cheti au noti ya daktari hii naye akaulizwa nakusema ndio aliandika hapo kingeeleweka.

Kingine ni kwamba umekimbia kusema kwa nini unakazania kutaja jina Katunzi.

Kumbuka wanaume wapo wengi duniani wanaoambiwa na madaktari hawatazaa na wanazaaa, wanawake pia.

hao wanawake waliomsingizia Diamond Platnumz wajue malipo ni hapa hapa duniani.
 
Hivi jamani naomba kuuliza ni kwanini kuna baadhi ya watu wanalazimisha Diamond awe na wema na wanaCREATE UADUI Kabisa.Kwani yeye ndio wa kwanza.Why siyo MR BLUE,TID,JUMBE,CK,CHALZ BABA etc ?
 
Katika watu ambao wako intellectually bankrupt wabongo ni namba moja. Neno akili ndogo inaonekana wengi hawaelewi linamaanisha nini. Maana yake akili yako haina faida yoyote hapa duniani na umezaliwa kuliongezea mzigo tu taifa. Ndo maana zikijaga ishu za ku debate kati ya mbongo na mkenya au mbongo na mganda mbongo hana cha kuongea sababu kichwani hamna kitu kumejaaa madudu ya shigongo tu. Shigongo ulaaniwe kwa kuliangamiza taifa hili maana limeshindwa kutafuta maarifa na kuamua kuishi kwa gossips na tabloids. Mimba iwe ya Katunzi iwe ya Diamond nyie mnapata faida gani na umaskini wenu umepungua kwa kiasi gani kwa mapovu yanavyowatoka. Wewe nenda kamuulize mamako mzazi kama baba yako ndo huyo au alisingiziwa tu ndo uje hapa uandike huo u-p-u-p-u wako. Halafu wanaohangaika na ku comment uzushi wengi ni losers hawana mbele wala nyuma kwenye maisha ila ndo mabingwa wa kuwapangia wengine waishi vipi maisha yao.Wewe maisha yako ya shida shida halafu eti unamshauri Diamond awe makini atafirisika. Yaaani huwa nacheka muda mwingine. A broke person offering ushauri kwa mtu ambaye ameyapatia maisha au mtu hana relationship yeyote stable anajaribu eti kumpa mtu ushauri kuhusu mahusiano. Hii ndo tabia ya wabongo wengi. Wengi akili zao zinawatosha wenyewe tu kwa kukunjia miguu ila hazina faida yeyote kwa taifa. Badala ya kusoma vitabu utanue huo ubongo unahangaika na habari za udaku:becky:. Halafu unarusha mitusi mtandaoni na kujiona una akili sana. Jionee huruma huna mbele wala nyuma. Unapotea kwenye huu mtandaoo usidhani ni sifa kuandika andika utumbo. Tafakari mwisho wa siku unakuwa umeachieve nini. Muda unaopoteza kutoa mapovu kwenye vitu ambavyo haviwezi kubadilisha maisha yako ni bora ungeuwekeza katika kuijiewekea mikakati ya kusonga mbele. Si bora ufee tu maana huna faida kwa nchii hii unatumalizia tu maji na oksijeni za vizazi vijavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…