Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Shosti...
Chini ya kapeti wanasema hata kijacho ni cha katunzi.....
Hiyo ndio habari shoga.Wewe ngoja tusubiri kichanga ndio tutajua kipi ni kipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shosti...
Chini ya kapeti wanasema hata kijacho ni cha katunzi.....
Hiyo ndio habari shoga.Wewe ngoja tusubiri kichanga ndio tutajua kipi ni kipi.
Zamani ipi?angalia hair do na alivyonenepeana Zari,siyo ya zamani hii pichaPicha ya zamani hio
Ila kama itakua kweli domo atatia huruma...
Maana shobo zote...
Zamani ipi?angalia hair do na alivyonenepeana Zari,siyo ya zamani hii picha
Kwa hiyo mahusiano ya zamani ndio yawakosanisheee??au 😛😛😛😛
Kumbe Zari alikuwa anakuja kwa Katunzi,ndo akakutana kwenye ndege na Diamond,kila kitu kikabadilika.Kawa na katunzi muda mrefu alivyoona hapati fame ikabidi ahamie kwa diamond na mimba yake,Diamond itabidi ukapime DNA,usije uziwa mbuzi kwenye gunia bure,bora ungeowa menina tu
Shigongo mshakunaku kweli, ipo siku huu udaku wake utampwelepweta hadi ajute kuzaliwa. Wakati mwingine anapaswa kujali ubinadamu kuliko pesa, mtu ana mimba halafu anaanza kutaka kumvunjia ndoa yake, kwa nini asisubiri dada wa watu akajifungua? Au lengo ni kumpa stress dada wa watu ili mimba iharibike?
Duuuuh ila naona wa2 wanasingizia kwa sura y domo hakuna haja y DNA zaidi y kucheki domo l mtoto 2
Mtoto anasubiriwa kwa hamu,sura ya mtoto itasema yote,ila DNA ni muhimu ndo inakonfirm kila kitu,hata kama mtoto hajafanana na baba yakeDuuuuh ila naona wa2 wanasingizia kwa sura y domo hakuna haja y DNA zaidi y kucheki domo l mtoto 2
Nilishasema naona anguko la diamond,. Na anguko lake ni mashauzi yake, anyway aliona amepata hilo jike gumegume, hahahhaha pole
kuna aliesemaga humu eti alilala na katunzi no picha zaidi ya hiyo moja wakiwa na wenzao Sintah etc Katunzi ndio rafiki za TZs.
Sasa wakasema alipata mimba 14 Sept 2014 na muda wa kujifungua ndio kama 8th June. So haya ni kuhesabu alikutana na D lini na atazaa lini maana mimba haiwezi kuzidi tumboni kwa mawiki labda kama mwanamke karushiwa juju la nguvu style zile au kutofata mila.
Mtoto anasubiriwa kwa hamu,sura ya mtoto itasema yote,ila DNA ni muhimu ndo inakonfirm kila kitu,hata kama mtoto hajafanana na baba yake
Hahaaaaa mdomo utatoa evidence dhahiri ila mtoto anaweza asifanane na babake akafanana na mama.
Kwani hyo sheria ya mitandao haihusiani na magazet ya udaku?sasa kama mimba ya sept it means alimcheat wema,?mana hadi October birthday walionekana wako na wema
Huyo Katunzi anajishughulisha na nini?