Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Hahahahahaha sie yetu macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Please naomba nikuulize swali kama hutojali
Tatizo ukifanya kwa siri siri diamond hataona na hataumia.
Yeye nia yake ni diamond aumie.
Lakini hajamtangaza baby wake, kwa hiyo hata wakiachana akipata mpya anaweza akaendelea kuigiza kwamba ni huyohuyo.
Atulie tu bwana atasepa kwa hicho kiherehere
Ndoa jamani watu wanatamani hata nusu Saa tu!!yaani mpk anatia hurumaHuyu nae utafikiri kabalehe leo. Ana hamu ya ndoa mpaka basi. Nakumbuka alijiita hadi Mrs Dee. Wallah bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Hahaaa!,kivipi?team yake wanakuambia role modoZari yupo kwenye wakati ngumu sanaa..
Muombeeni
AtakujaWrite your reply...
milango iko wazi
zari aje nimuoe mahari ni sawa na bei ya sigara
Role model wa Makahaba by the way Zari ni kahaba mzoefu Sema yeye kazi yake anaifanya ki digital zaidi.Hahaaa!,kivipi?team yake wanakuambia role modo
Utaambiwa haterRole model wa Makahaba by the way Zari ni kahaba mzoefu Sema yeye kazi yake anaifanya ki digital zaidi.
Hahaaa!,kivipi?team yake wanakuambia role modo
Zari anaugua matatizo ya akili kwa sasa yanaitwa BIPOLAR DISORDERTatizo ukifanya kwa siri siri diamond hataona na hataumia.
Yeye nia yake ni diamond aumie.
Lakini hajamtangaza baby wake, kwa hiyo hata wakiachana akipata mpya anaweza akaendelea kuigiza kwamba ni huyohuyo.
Unafaa sana kuwa psychologistAlikua anautafuta umaarufu kwa nguvu zote kaupata...
Na sasa analipa gharama za umaarufu
Anaishi kwa maneno ya watu sio moyo wake.
Kadate mtu maarufu akifungua simu tu anamuona kila siku..lazima aweweseke.
Watu wakisema kafulia anahangaika kufanya manunuzi ya gharama na kuonyesha mitandaoni,wakisema kazeeka anahangaika kuonyesha mwili wake akiwa nusu uchi...
Wakisema oh huolewi tena ndo hivo anahangaika kukioa kiben ten chake awanyamazishe watu.
Ameelemewa na kelele za watu mtandaoni..zinampelekesha
Angeweza kuzihimili angeishi maisha yake bila kuweweseka!
Ikibuma je..??!!Tatizo ukifanya kwa siri siri diamond hataona na hataumia.
Yeye nia yake ni diamond aumie.
Lakini hajamtangaza baby wake, kwa hiyo hata wakiachana akipata mpya anaweza akaendelea kuigiza kwamba ni huyohuyo.