Zari punguza "kimuhemuhe"

Hahaaa role modo wema!hapana but nampenda tu km kumpenda!!Wema
Sisemi km Zari hana mazuri yake yapo pia ktk hii dunia hakuna mbaya wa moja kwa moja!!so yapo mazuri maana hata Zari humu tumempigania sanaa tu na tushatukanwa sana na team wema kwa Mange na Sintah Mimi na Mama Sabrina
We mbona wema alikua role modo ako sijui hadi sahivi bado
Wanaoona ni role modo wao let them be kwa zari kuna ya kujifunza mengi tu mapungufu kila mtu anayo, mi namkubali sana yale maisha hakuna asoyatamani hata wewe nnauhakika teh
 
Hahahaaaa....jamani kaahh
 
Ahsante luv!!!!!
 
Kinawauma nini anachofanya bibi kizee wa watu?? Tanzania bhana kila Mtu ni investigator kwani mpo kwenye moyo wake mpaka mjue kuwa haja move on???! Kweli nmeamini mbongo mpe picha tu story anatunga mwanzo mwisho
 
Hater sana ww
 
Sinaga tabia ya kujadili watu. But this woman is broken inside .Maana anatumia nguvu nyingi kuprove kwamba yupo sawa. Hizi ni tabia za mtu ambaye anapitia magumu sana.
 
Yani unapanua upaja ili kumkomoa DP?Wanawake mnafeli sana eti unaamua kuliwa hovyo ili EX wako aumie ha ha ha ha ha
 
Hivi mlitarajia Dai atamuoa yule? Dai alilengesha tu kuzaa na tajiri kitu ambacho hata mimi naweza kufanya. Dai vimwana vyote hivi age 20s akaoe lile mama? Thubutu.....labda kama hajakulia Tandale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…