Zari: Sihami kwa Diamond Ng’o.

Ndo n'shasema hivyo, wakati nakuambia ni jinsi gani nakupenda lakini kaa ujue it's a matter of time kabla hamjanasana! Sitaki mchezo mimi, kwa mke wangu!
Basi yaishe bwana haitatokea kwa kuwa hakuna hicho kitu
 
Shosti ee zari atabaki zari. Ka vipi kakigawe kwa dai kumpa pole
 
Ukiangalia na wao wanazo hizo k na akili wanazo wamesoma na isitoshe ni wadogo bado lkn lkn lkn wameishia kuumia hahahaaaa hebu ninyamaze mie nawapenda wanawake wenzangu.
 
See ya next time, lemme down my temper first manake naona kuna mtu anataka kunipanda kichwani na sitaki kukuonesha another side of me! That's how I respect watu aina yako!
Sawa babe baadae
 
Haha I can see that, mimi huwa nakufananisha wewe na Relief Mirzska pamoja na Samwel mdodo [emoji23][emoji23][emoji23] hebu niambie huyo memba unayenifananisha nae
😊😊😊😊

Only that I can't be into these arguments.

I never knew you are thinking of me sometimes, in a positive way.
 
Shangaa na wewe. Tayari wameshamuita majina yoote na bado wanaumia.
Ukiangalia na wao wanazo hizo k na akili wanazo wamesoma na isitoshe ni wadogo bado lkn lkn lkn wameishia kuumia hahahaaaa hebu ninyamaze mie nawapenda wanawake wenzangu.
 

😂😂😂😂
Ila hata mie sometimes i see Khantwe in me ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…