Zari the boss lady, Breaking the internet again.

[emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
 
Mungu fundi kampa pesa kamnyima ndoa hata Ivan hakuoa kidini, analilia ndoa ndio maana juzi kajioa dah aibu😁😁😁😁
 
Zari Akifa Nawe Warumi Unakufa Njaa Hapa Mjini
Utarudi Kwemu "madongokuinama"
Ukalime Matikiti Ombea Sana Zari Asife
 
Ana uzuri gani?
Huo wa kununua, hayo mawigi, meckups n.k?

Kuna wanawake wenye uzuri wa asili na siyo hao wavaa mawigi na meckups

Weka picha yako tuone wewe na yeye!
 
Weka picha yako tuone wewe na yeye!

[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi najikubali vile nilivyo!

Alivyonifinyanga Bwana yatosha nikiwa na Bwana yatosha! [emoji440][emoji446][emoji441][emoji448][emoji449][emoji443][emoji450][emoji450]

In Kakobe ‘s voice [emoji14][emoji14][emoji14]
 
Na ndo maana wanalazimika kutafuta mabwana wenye hela nyingi ili kuweza kumaintain status za hayo mawigi na meckups za gharama na mavazi kwa ujinga.

Sasa kama wasanii wa hapa bongo utakuta wana madeni mpaka basi kwaajili ya show off.

Bora ukope uwekeze lakini unakopa kwaajili ya consumables [emoji205][emoji205][emoji205][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Mungu fundi kampa pesa kamnyima ndoa hata Ivan hakuoa kidini, analilia ndoa ndio maana juzi kajioa dah aibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Aliolewa na ndio maana anasimamia mali zote za mume wake kwa taarifa yako , Incase you didn’t know pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…