Zari the boss lady, Breaking the internet again.

Fabuolwa akasahau yupo kazini kisa kupanga na wenzake kabla wakitamani kumshusha tu.. wivu
 
Fabuolwa akasahau yupo kazini kisa kupanga na wenzake kabla wakitamani kumshusha tu.. wivu
Dada unafikiri kwanini wanaume wengi wapo upande wa huyo dada ni kwasababu she is very beautiful alafu pia huyo pesa anazo Sasa amuonee wivu zari kwa kitu kipi maana zari ni Kama mama kwa yule dada hiv kwel unaweza kumuonea wivu mama yako? Zari hamfikii yule dada hata robo ya uzuri.
 
Ni yule zari Wamentale Wa professa yay
 
Mkuu unalipwa?mbona kila post unaquote khaa kero sana
 
Mkuu unalipwa?mbona kila post unaquote khaa kero sana
Numbisa kiukwel huyu dada aneth Fabiola ameteka moyo wangu kiukwel kwa uzuri aliyonayo ila nitajaribu kurusha ndoano wanasema kujaribu si kashindwa nishaipata account yake ya insta teyali kazi ni kwangu tu na ukinzingatia tuna umri sawa ajanipita
 
imagne unamjadili mtu ambye hakusikii, hakujui na unamjadili kwa vitu ambvyo havikusaidi.
.
any way uku sio mahala pake, peleka kwa yule dada wa alabama izo story.
Halafu na wewe ukaisoma thread na kuichangia!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mungu fundi kampa pesa kamnyima ndoa hata Ivan hakuoa kidini, analilia ndoa ndio maana juzi kajioa dah aibu😁😁😁😁
Ama kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. πŸ˜€ πŸ˜€
 
The beauty is in the eye of the beholder.
 
Kupitia hii thd nimeona jinsi wanawake wanavyochukiana kwa misingi ya kuoneana wivu tu! kumchukia aliyekuzidi kwa kila kitu hakurahisishi maisha yako kua mazuri,jifunze mazuri toka kwa watu na mabaya waachie wao wenyewe,kila mtu ana mambo mazuri na mabaya,nobody is perfect.
 
Zari ni mwanamke mzuri tangu mwanzo nilipomwona akiwana Dai, japo sijawahi kumwona kwa karibu kwa mtizamo wa nje ya picha, inawezekana kabisa huyu mama si mwingi wa maneno kama walivyo wabongo wengine ndicho wengine humchukulia poa tu. Hata hivyo "She is not the cheap one" bado ni mwanamke jasiri kwa upande mwingine
 
Uongo mbaya, ubuyu wa kizungu haunogi ujue wee warumi. Mimi ni folowa wako halafu sijui kizungu. umeninyima madini kwenye huu uzi wako bwana!!!
 
Diamond wouldn’t dare to buy a mansion in Pretoria for her, the way diamond ako stingy , imagine? Wanawake wote aliowalala achilia mbali kuzaa nao, kuna aliyemnunulia nyumba?
Kwahiyo binamu leo hii nikinunua nyumba huku hati ya nyumba ikiwa na jina ni la kwangu, hati yenyewe nimeiweka ninapopajua mimi, lakini kutokana na sababu moja au nyingine nikakuacha wewe uishi kwenye hiyo nyumba, ndo tayari utakuwa unatamba nimekunulia nyumba?!

Lakini sitashangaa manake dada wa mjini ndo zao hizo! Huwa wanatamba kununuliwa gari wakati hata rangi ya kadi ya hiyo gari hawajaiona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…