NakaziaWewe ukiwa mmoja wao
Hadithi yako dada inatufundisha Nini?Hili lidada linanyota jamani....sitaki kuamini linapanickisha wanaojiita wanaume humu jf...qumamae
Katika CV ya zari umesahau kuitaja ile ndoa yake aliyojioa
Dada unafikiri kwanini wanaume wengi wapo upande wa huyo dada ni kwasababu she is very beautiful alafu pia huyo pesa anazo Sasa amuonee wivu zari kwa kitu kipi maana zari ni Kama mama kwa yule dada hiv kwel unaweza kumuonea wivu mama yako? Zari hamfikii yule dada hata robo ya uzuri.Fabuolwa akasahau yupo kazini kisa kupanga na wenzake kabla wakitamani kumshusha tu.. wivu
The only thing I know for sure , If Zari was cheap and local , Diamond wouldnβt dare to buy a mansion in Pretoria for her, the way diamond ako stingy , imagine? Wanawake wote aliowalala achilia mbali kuzaa nao, kuna aliyemnunulia nyumba? , ndo ujue pussy so good ainβt everything , itβs your intellect ability that matters na sio kutegesha mimba kwa bwana za watu, Zari angekua cheap kama nyie na yeye angeambuliwa kupangiwa tu na Toyota carina[emoji23]
Zari sio mwanamke wa kuhongwa I phone X wala flight ticket za Dubai [emoji23]. Them hoes tried sleeping with D knowing they could end up living Zariβs lavish life style , instead wameambulia rav 4, poor bitch[emoji23], have a class , have a brain , she ainβt the one who told you to open legs without thinking[emoji23][emoji23]. Nyie hoes wa bei rahis you canβt compete with her, mtahangaika ku team up against Zari but hamumuwezi kwa chochote yan[emoji23], sio kwa uzuri, pesa , followers yan kila kitu
Tutukabali tukatae Kwa sasa hakuna kama Zari kwa kweli, tukiweka u team pembeni, kama unabisha nenda instagram uone whatβs trending right now [emoji23][emoji23]
Shoga angu Jana ningekuwepo huyo Anita tindikali ingemhusu, kwanza ulikosea, ungemchapa vibao viwili vya maana, et Zari kajiabisha mxiie kuna aibu mjini kama umaskini? And Zari ainβt one , so you imbecile ndo wa kupata aibu sio Zari , she ainβt poor
View attachment 1164825
Dada unafikiri kwanini wanaume wengi wapo upande wa huyo dada ni kwasababu she is very beautiful alafu pia huyo pesa anazo Sasa amuonee wivu zari kwa kitu kipi maana zari ni Kama mama kwa yule dada hiv kwel unaweza kumuonea wivu mama yako? Zari hamfikii yule dada hata robo ya uzuri.
Mimi sio size yako
Weka picha tuone kama wasema ukweli
Katika CV ya zari umesahau kuitaja ile ndoa yake aliyojioa
Numbisa kiukwel huyu dada aneth Fabiola ameteka moyo wangu kiukwel kwa uzuri aliyonayo ila nitajaribu kurusha ndoano wanasema kujaribu si kashindwa nishaipata account yake ya insta teyali kazi ni kwangu tu na ukinzingatia tuna umri sawa ajanipitaMkuu unalipwa?mbona kila post unaquote khaa kero sana
Halafu na wewe ukaisoma thread na kuichangia!imagne unamjadili mtu ambye hakusikii, hakujui na unamjadili kwa vitu ambvyo havikusaidi.
.
any way uku sio mahala pake, peleka kwa yule dada wa alabama izo story.
Ama kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. π πMungu fundi kampa pesa kamnyima ndoa hata Ivan hakuoa kidini, analilia ndoa ndio maana juzi kajioa dah aibuππππ
The beauty is in the eye of the beholder.Dada unafikiri kwanini wanaume wengi wapo upande wa huyo dada ni kwasababu she is very beautiful alafu pia huyo pesa anazo Sasa amuonee wivu zari kwa kitu kipi maana zari ni Kama mama kwa yule dada hiv kwel unaweza kumuonea wivu mama yako? Zari hamfikii yule dada hata robo ya uzuri.
Kwahiyo binamu leo hii nikinunua nyumba huku hati ya nyumba ikiwa na jina ni la kwangu, hati yenyewe nimeiweka ninapopajua mimi, lakini kutokana na sababu moja au nyingine nikakuacha wewe uishi kwenye hiyo nyumba, ndo tayari utakuwa unatamba nimekunulia nyumba?!Diamond wouldnβt dare to buy a mansion in Pretoria for her, the way diamond ako stingy , imagine? Wanawake wote aliowalala achilia mbali kuzaa nao, kuna aliyemnunulia nyumba?