Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Ajifunze kunyamazq tena mwambieni Diamond hakumuongelea kwenye national radio kama anavyojinasibujamani let her be....hata wewe ushawahi kuwa na mahusiano..na watu uliokua nao huwezi kuwasahau Maisha yako yote...lol
Zari analeta bwana mpya kwenye nyumba aliyonunua kaka, Mange amamchamba mpaka bi Tukinao leo amechamba KiswahiliIvan angekuwepo aibu kwa Zari
Maisha ya mitandaoni noma sana.... Tunatumia muda mwingi kumdiss ambaye ameshatoboa kimaisha na kupitia karibia hatua zote muhimu kimaisha kuanzia pesa, mahusiano, ndoa, familia umaarufu nknk
Dah kweli leo ni siku njema... Naona leo hujaniponda bali unenisapoti kiaina nilichoandika [emoji108]ndio hata kama Maisha yake sasa sio mazuri kama zamani,still ameshawahi kuenjoy Maisha..probably me and you hatutakaa tuyapate in our lifetime..lol
Na mm kama wifi yake ananikera ataletaje! Mwanaume mwingne kwenye nyumba ya kaka! kwa hilo acha Mange aruke naeZari analeta bwana mpya kwenye nyumba aliyonunua kaka, Mange amamchamba mpaka bi Tukinao leo amechamba Kiswahili
Kama nawaona watoto wake wanavyoumizwa na mambo haya!Bosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.
Umaarufu una gharama zake,mojawapo ndio hii!jamani let her be....hata wewe ushawahi kuwa na mahusiano..na watu uliokua nao huwezi kuwasahau Maisha yako yote...lol
Celeb forum hii!Maisha ya mitandaoni noma sana.... Tunatumia muda mwingi kumdiss ambaye ameshatoboa kimaisha na kupitia karibia hatua zote muhimu kimaisha kuanzia pesa, mahusiano, ndoa, familia umaarufu nknk
Hoiiiiii!Sura ya south mdomo wa mbagala!Zari kweli mnampenda
Zarina Oyeeeeeee
Dah kweli leo ni siku njema... Naona leo hujaniponda bali unenisapoti kiaina nilichoandika [emoji108]
K?Bosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.