Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Dah umeongea ukweli mtupu kaenda kwa mswahili ambaye hana heshima mchafu wa tabia hana hata haya mwanaume hajiheshimu kama mwanaume yupo tu. DIAMOND sio hadhi ya ZARI ni mashine alifuata kwa DIAMOND kweli alikosea ila pole zake napia hatokaa ampate wakumreplace THE DON jamani alikuwa mtu powa .
Waswahili sio wakukuoa wanamaisha yao yakishida tu.
Hawana shukurani hawajitambui wanakera wanaweza kumfanya mtu ajisikie vibaya hata waishi nje wai hawabadiliki umeona mangi ni mswahili kapeleka uswahili nje hawabadiliki.
Halafu kingine DIAMOND hata naye karuka mkojo kakanyaga Mavi huyo TANASHA ni zero hajui kumhandle Diamond ameshuka kimziki hajui kumshauri.
Halafu kingine Zari sasa hivi kaanza kuchuja amebaki tahamaki tu kwa kila kitu alicheza karata nzuri tu kwa THE DON ila sio kwa wengine.
Dia kamuachia uswahili so ameshuka kabisa kwa yale.mastaili yake .
Tokea awe na daimond Ameshuka kabisa soko lake.
Anajutia ila hana chakufanya.
 
Ninachosikitika ni watoto wa zari wa kiume,mara paap kwenye mitandao wanakutana na maza yao akijiingizia mashine ya bandia ukeni,fedheha sana!Vp kama marafiki wa watoto wake nao wameziona???Daah
 
Ninachosikitika ni watoto wa zari wa kiume,mara paap kwenye mitandao wanakutana na maza yao akijiingizia mashine ya bandia ukeni,fedheha sana!Vp kama marafiki wa watoto wake nao wameziona???Daah
Zipo wapi hizo clips za bibi yetu akiweka dildo kwenye mashine ?
 
S

Sasa na yeye kwa nini kaziacha huko? So awaombe wazifute
Hela ya kulipa huko sio ya kitoto!Halafu unaweza lipa ikafutwa,baada ya hapo kama mtu anayo akairudisha!!!Kanye West alihangaika sana kufuta video ya mkewe Kim kardashian akingonoka na Ray J,mdogo wake Brandy,lakini ilishindikana kutokana na watu walikuwa washadownload!Alitoa mkwanja mrefu lakini bado ikabuma maana kila ikiondolewa watu wanaipandisha!
 
Bibie alitafuta a man who is sexy and fluent in English, Ivan na pesa zake zote lakini hakuwa na shule, alikuwa mnene na tumbo. Kitu ambacho wanawake hatujui ni kuwa, mwanaume anaekuenzi muenzi, utaishi kama malkia. Kwa Ivan Zari was his Queen.
Diamond is fluent in English? really?!!
 
Na mm kama wifi yake ananikera ataletaje! Mwanaume mwingne kwenye nyumba ya kaka! kwa hilo acha Mange aruke nae
Utafikir unaijua hata thamn ya tofal moja!!et nyumba ya kaka!?
 
Itabidi wabadirishane basi kila mtu achukue Mari yake, zarina achukue madale, domo nae akabidhiwe yake io ya SA
 
Dai ana gundu na Zari alikosea kuzaa mfululizo mwanaume hatulizwi kwa kumzalia watoto aisee
 
Jide alikuwa na hasira za kuchitiwa ndo mana wapenzi mkiachana bora kupiga kimya kuliko kusemana hovyo ni utoto. Hafu hamna mwanaume wa hovyo kama Dai ana utandale na uswahili nilishangaa Zari kumpa k yake mwanaume asiye heshimu wanawake
 
Dai ana gundu na Zari alikosea kuzaa mfululizo mwanaume hatulizwi kwa kumzalia watoto aisee
Anayo hushangai alimkuta wema yupo juu kwenye gemu la filamu kuwa naye tu Wema akashuka mpaka naleo haja panda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…