Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huyo bibi amepanic hadi anatukana kwasababu ya kufake uboss kumbe sungura matope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kangomba nimelipwa jana,japo wamenipa 75% tu!Mambo gani mengi wakati muda wote unasterehesha baraza na kupiga porojo.
Ulishalipwa hela zako za Korosho?
Aiseee chalii yangu hongera Big upKangomba nimelipwa jana,japo wamenipa 75% tu!
Nimepata mtoto wa pili wa kiume,nipe hongera!
Dah umeongea ukweli mtupu kaenda kwa mswahili ambaye hana heshima mchafu wa tabia hana hata haya mwanaume hajiheshimu kama mwanaume yupo tu. DIAMOND sio hadhi ya ZARI ni mashine alifuata kwa DIAMOND kweli alikosea ila pole zake napia hatokaa ampate wakumreplace THE DON jamani alikuwa mtu powa .Ivan the don alikuheshimu sana,hakuwahi kukuanika kwa lolote!Mwisho wa siku ukamuonesha kuwa umemove on na kujooiianika mitandaoni na Diamond ukijua umelamba dume,kumbe umeruka mkojo na kukanyaga mavi!!!Ona sasa unavyorukwa akili na kutoa matusi bila kujali wanao wameshakuwa na wanakiona unachofanya,unafika mbali mpaka kusema kuwa Ivan amekuachia nyumba so hubabaiki!!!
Kiaina kama unammiss Ivan na kujutia kumuacha baba wa watoto wako aliyekuheshimu na kuingia chaka!
Pole sana ila majuto ni mjukuu!
I wish Ivan angekuwa hai leo,ungeenda kwake unatambaa kwa magoti kwa ulivyomkosea!!!!
Mkuu avatar yako nzuriBosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.
Ninachosikitika ni watoto wa zari wa kiume,mara paap kwenye mitandao wanakutana na maza yao akijiingizia mashine ya bandia ukeni,fedheha sana!Vp kama marafiki wa watoto wake nao wameziona???DaahDah umeongea ukweli mtupu kaenda kwa mswahili ambaye hana heshima mchafu wa tabia hana hata haya mwanaume hajiheshimu kama mwanaume yupo tu. DIAMOND sio hadhi ya ZARI ni mashine alifuata kwa DIAMOND kweli alikosea ila pole zake napia hatokaa ampate wakumreplace THE DON jamani alikuwa mtu powa .
Waswahili sio wakukuoa wanamaisha yao yakishida tu.
Hawana shukurani hawajitambui wanakera wanaweza kumfanya mtu ajisikie vibaya hata waishi nje wai hawabadiliki umeona mangi ni mswahili kapeleka uswahili nje hawabadiliki.
Halafu kingine DIAMOND hata naye karuka mkojo kakanyaga Mavi huyo TANASHA ni zero hajui kumhandle Diamond ameshuka kimziki hajui kumshauri.
Halafu kingine Zari sasa hivi kaanza kuchuja amebaki tahamaki tu kwa kila kitu alicheza karata nzuri tu kwa THE DON ila sio kwa wengine.
Dia kamuachia uswahili so ameshuka kabisa kwa yale.mastaili yake .
Tokea awe na daimond Ameshuka kabisa soko lake.
Anajutia ila hana chakufanya.
Zipo wapi hizo clips za bibi yetu akiweka dildo kwenye mashine ?Ninachosikitika ni watoto wa zari wa kiume,mara paap kwenye mitandao wanakutana na maza yao akijiingizia mashine ya bandia ukeni,fedheha sana!Vp kama marafiki wa watoto wake nao wameziona???Daah
Ingia xvideo.com kisha search "zari",utaiona!Zipo wapi hizo clips za bibi yetu akiweka dildo kwenye mashine ?
Sasa na yeye kwa nini kaziacha huko? So awaombe wazifuteIngia xvideo.com kisha search "zari",utaiona!
Hela ya kulipa huko sio ya kitoto!Halafu unaweza lipa ikafutwa,baada ya hapo kama mtu anayo akairudisha!!!Kanye West alihangaika sana kufuta video ya mkewe Kim kardashian akingonoka na Ray J,mdogo wake Brandy,lakini ilishindikana kutokana na watu walikuwa washadownload!Alitoa mkwanja mrefu lakini bado ikabuma maana kila ikiondolewa watu wanaipandisha!S
Sasa na yeye kwa nini kaziacha huko? So awaombe wazifute
Diamond is fluent in English? really?!!Bibie alitafuta a man who is sexy and fluent in English, Ivan na pesa zake zote lakini hakuwa na shule, alikuwa mnene na tumbo. Kitu ambacho wanawake hatujui ni kuwa, mwanaume anaekuenzi muenzi, utaishi kama malkia. Kwa Ivan Zari was his Queen.
KhaaaaaBosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.
Utafikir unaijua hata thamn ya tofal moja!!et nyumba ya kaka!?Na mm kama wifi yake ananikera ataletaje! Mwanaume mwingne kwenye nyumba ya kaka! kwa hilo acha Mange aruke nae
Itabidi wabadirishane basi kila mtu achukue Mari yake, zarina achukue madale, domo nae akabidhiwe yake io ya SAHa ha haaaa
Mbona tuliyaona akifanya hivyo.. unafikiri watu tuna muda wa kutunga yasiyo yetu.. habari ndio hiyo.. hata juzi kwa video clips Zari kaisema.. mwambie basi abishe. Eti show.. jamani tumsalie jana domo kapiga show hakupata watu zaidi ya kidunchu hadi kagawa ticket bure.. na wa SK waingie.. kuna wadau walirusha instalive kaangalie kabla haijaishia. Mwambieni amuombe msamaha Zari kwa kumshambulia uongo kutaka kumchafua.
Mzamili unapenda kumtaja kama vile wewe wako hakuguswa na wengine.. haina nguvu hiyo ni blah blah blah unatema. Andika kingine..
Amewajibu wanaomnanga kuwa yeye ni Malaya muuza K. Sasa anawauliza kama kupata ni K yako imekulipa nini?Khaaaaa
Si kweli Mimi humaanisha jambo nikisemaWanawake wengi mnachoongea ni kinyume, nimeshashikia wanawake wengi wakiongea kama wewe lakin mwisho was Siku imekua ni kinyume chake
Dah umeongea ukweli mtupu kaenda kwa mswahili ambaye hana heshima mchafu wa tabia hana hata haya mwanaume hajiheshimu kama mwanaume yupo tu. DIAMOND sio hadhi ya ZARI ni mashine alifuata kwa DIAMOND kweli alikosea ila pole zake napia hatokaa ampate wakumreplace THE DON jamani alikuwa mtu powa .
Waswahili sio wakukuoa wanamaisha yao yakishida tu.
Hawana shukurani hawajitambui wanakera wanaweza kumfanya mtu ajisikie vibaya hata waishi nje wai hawabadiliki umeona mangi ni mswahili kapeleka uswahili nje hawabadiliki.
Halafu kingine DIAMOND hata naye karuka mkojo kakanyaga Mavi huyo TANASHA ni zero hajui kumhandle Diamond ameshuka kimziki hajui kumshauri.
Halafu kingine Zari sasa hivi kaanza kuchuja amebaki tahamaki tu kwa kila kitu alicheza karata nzuri tu kwa THE DON ila sio kwa wengine.
Dia kamuachia uswahili so ameshuka kabisa kwa yale.mastaili yake .
Tokea awe na daimond Ameshuka kabisa soko lake.
Anajutia ila hana chakufanya.
Mwanaume nae anaroho unakumbuka jide alimsema habash mpka kwenye nyimbo,uvumilivu ilimshinda habash nae akatupa jiwe moja tu la kukojozwa mpka leo hii heshima debe.ukweli mchungu ila zari ni mama ambae anaakili za kitoto huwezi mdharau mzazi mwenzio hata kama mmeachana
Anayo hushangai alimkuta wema yupo juu kwenye gemu la filamu kuwa naye tu Wema akashuka mpaka naleo haja pandaDai ana gundu na Zari alikosea kuzaa mfululizo mwanaume hatulizwi kwa kumzalia watoto aisee