Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

Ulishalalwa na watoto wanaolingana umri na watoto wako wa kuwazaa wakati wewe ni 50yrs basi zari ni cheeeeaaaap
 
Hahaaa!!! MANGE BWANA Anamuambia anatamani harusi wakati yeye alishaolewaga hanaga time....so anahaha daily kila bwana kuita mume[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Hehe Mange msamehe bi tukinao amemzalia Chibu mtoto ops watoto
 
One of them?Hell no,unamuwekaje mtu kama huyo na wanawake kama Nancy,Jackline na wengine wa aina hiyo?Kuwa na pesa na kuwa maisha mazuri ni vitu viwili tofauti!
Imagine Zari ana watoto wakubwa tena wa kiume ambao wako mtandaoni,wanajisikiaje wakiona mama yao anatoka matusi ya nguoni?Wanajisikiaje wanapoona mama yao anadhalilishwa na kijana mdogo kama Mondi?Halafu unasema Zari is the best???Labda mimi ndio sielewi!!

Watoto kila siku wana baba mpyaa na analetwa kulala nyumbani 😂😂😂😂😂😂
 
Hahaaa!!! MANGE BWANA Anamuambia anatamani harusi wakati yeye alishaolewaga hanaga time....so anahaha daily kila bwana kuita mume[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]

Bwnaa hata mwezi hana ashaitwa mume,na kutangaza ndoa 😂😂😂😂kingbae anajitombea kwenye nyumba ya watu ukute kadanganywa nyumba ni yangu hiii
 
Huyo zari anakaa na watoto wake wakubwa hapo sauzi??
Kama ndo hivo ina maana huyo jamaake anagegedea humo ndani na wanae wakubwa wanaskia mama yao anapiga kelele "uwiiii likwidi fire konki!! "??
Daah
Bando ni langu sio lazima uelewe
 
Hahaaa!!! MANGE BWANA Anamuambia anatamani harusi wakati yeye alishaolewaga hanaga time....so anahaha daily kila bwana kuita mume[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]

1556398172546.jpg




1556397938451.jpg
 
Hapana sijawahi... ila yananekana sana, kila kukicha...

Sijawahi kua na wasi wasi kwa lolote...

Cc: mahondaw
Ni kweli kabisa kama Unakumbuka alivyoachana na wema mara ya kwanza na wema aka move on akaanza kufanikiwa diamond alianza kum seduce wema mpaka akafanikiwa kirudiana nae na hiyo ndiyo ilikuwa downfall ya wema kukubali kurudi kwa diamond mpaka leo anasota kurudisha status ya madam,
Naona alivyoona zari ame move on na hataki kurudi nyuma na mambo yake yanaenda vizuri ndo akaamua kumzalilisha ,alikuwa wapi kuyasema hayo toka walivyoacha ni zaidi ya mwaka,
Mwanaume mzima kwenda kusemelea redioni kuwa mimi sikuachwa sijui nilikuwa simpendi ni ushamba wa hali juu
 
Bosslady wa kutegemea K. Aisee huyu demu ni kilaza sijapata kuona.
Karbu wanawake wote wanategemea K, huna haja ya kumshambulia mwenzako. Ni mwanamke gani anaweza kutoka chini to the top bila kutegemea K, very few, it is always K.

Nipe mfano wa mwanamke mmoja hapa Bongo ambae ametoka bila kutegemea K.
 
Karbu wanawake wote wanategemea K, huna haja ya kumshambulia mwenzako. Ni mwanamke gani anaweza kutoka chini to the top bila kutegemea K, very few, it is always K.

Nipe mfano wa mwanamke mmoja hapa Bongo ambae ametoka bila kutegemea K.
Hata humu JF wengi wanatombwa mchana kweupe halafu wamekua wa kwanza kumtupia mwenzao jiwe..

Wakati kimaisha kawaacha mbali, narudia kawaacha mbali mno hawathubutu hata kumsogelea..
 
Watoto kila siku wana baba mpyaa na analetwa kulala nyumbani 😂😂😂😂😂😂
Ndio hapo,wakigeuka huku wanaona mama yao analiwa denda,wakisema wajitulize kwa kuoeruzi mitandao wanakuta mondi anamla mate na wamepost!
Shame!
 
Karbu wanawake wote wanategemea K, huna haja ya kumshambulia mwenzako. Ni mwanamke gani anaweza kutoka chini to the top bila kutegemea K, very few, it is always K.

Nipe mfano wa mwanamke mmoja hapa Bongo ambae ametoka bila kutegemea K.
Shida ni pale unapojitamba kwa kutegemea K!Kuna wanawake wengi tu wamefanikiwa kutokana na wanaume walio nyuma yao na wanaheshimika!Cha kujiuliza,kwanini yeye adharaulike?
Kuna mtu anaweza akaanza tu kumdharau Jackline mke wa Mengi?Si K ndio imesababisha kwa sasa anaogelea kwenye utajiri,lakini anajiheshimu!
 
Back
Top Bottom