Zarina Hassan na Tanasha ni ndugu, Diamond anachezewa mchezo tu

Zarina Hassan na Tanasha ni ndugu, Diamond anachezewa mchezo tu

Sometimes hearsay may be admissible, since in every general rule there is exception.
Hearsay evidence is inadmissible for lack of a firsthand witness. When the person being quoted is not present, establishing credibility becomes impossible, as does cross-examination.
 
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond.

Lengo ni kumfilisi kabisa na mwisho wa siku wamwache solemba. Unaambiwa Zari ni mafia aliyeshindikana na kwamba utajiri alionao amekuwa akiupata kwa njia hizo. Hebu wanaofahamu ukweli wa jambo hili tusaidieni nasi tujue!!
Ujinga mtupu,kwa akili ipi aliyonayo illiterate .
 
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond.

Lengo ni kumfilisi kabisa na mwisho wa siku wamwache solemba. Unaambiwa Zari ni mafia aliyeshindikana na kwamba utajiri alionao amekuwa akiupata kwa njia hizo. Hebu wanaofahamu ukweli wa jambo hili tusaidieni nasi tujue!!
Mmeanza kuingilia.mapenzi ya watu au wewe ni yule Yuda wa Madale aliyejisifu wakiamua huanza kuunda zengwe hadi mwanamke anaachana na Kaka yake bila kufikiria watoto wataishije. Ndio wamependana waacheni walee mtoto bado mchanga yule
 
Kama wewe ni mwanaume hebu tafuta sehemu ya peke ako lia sana then mwisho tamka maneno haya "Eeh Mungu nisaidie mimi pamoja na kizazi changu tuondokane na hizi tabia za upande wa pili ili hali mimi ni mwanaume" Hope utasamehewa na utakuwa mpya kuanzia sasa na uishi kama kidume rijali.
Hata upande wa pili si wambea wote hii ni tabia ya mtu haijalishi ni jinsia gani, Kwa kweli inakera Sana
 
Huu uandishi unaonyesha una makalio makubwa.
Nikupe hongera kwa kujaliwa
 
Ukishajadili ukapata jibu kuwa ni kweli au sio kweli wewe itakusaidia nini maishani mwako?? Jitahidi yasiyokuhusu yasikupotezee mda wako mwisho wa siku umri utazidi kukutupa mkono uku huna ata baiskel.
 
Lokole kazini. Kashata kawashika pabaya
 
Back
Top Bottom