Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,198
- 1,648
Huyo Zari anaonekana hana furaha sijui mawazo....
Sinta yuko kucheka tu mwenzie wala kanenepeana huyo
amechoka ndugu yangu kazunguka saana kwa matamasha....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Zari anaonekana hana furaha sijui mawazo....
Sinta yuko kucheka tu mwenzie wala kanenepeana huyo
Eti toka ubindoni ni kwamba yule aliyeNDIKA KUTAFUTIA WABAWAKE WANAUME KWA KUSAKA KAMA ALIVYOSAKA KWA MZUNGU HUYU NDIO MKENGE UKAMWINGIA NDIE DDOUGGIE MASITA WA INSTA (NIMECHAKACHUA SPELLING MAKUSUDI)
DM NDIO MK. KUMEKUCHA EVIDENCE ETI ZIPOOOOOOO.
TENA KAINGIA BONGO KIMYA KASEPA, BASI WENYE WIVU WAANARIAJE NOW TEAM MABABU(WANAOTOKA NAO)
OK NAMI NIMEWASILISHA
Jinsi dogi anavyoandika.. upeo wake (kupitia mwandiko) na jinsi Mange anavyoandika na upeo wake.... mbona ipo clear ni watu 2 tofauti????
Inawezekana anatoka na huddah maana nimeona pics za huddah
Hapa itakua either ametumwa na ivan au ndio wake watafuta 7maarufu
Na sasa hivi anaupata follower wameongezeka na comment zinafika 800 na ushee heheheh
amechoka ndugu yangu kazunguka saana kwa matamasha....
Selaa alikuwa anataka mazoea kwa kuchat(kujifanya hajui halafu anajua khs Diamond & Zarih),halafu ulivyokuwa unamjibu kwa ukarimu kila comment yake na kwa haraka bila kumchomesha mahindi akachukulia hata mambo mengine yatakuwa mepesi vivyo hivyo. Picha yako imemponza,inaonyesha una aibu halafu una huruma. Hajui hizi ni ID fake?
Kumbe huyu ndio sintah...basi sawa, namsikiaga tu
Njoo pm nkupe namba yake ..hana gharama mradi ujue tu kulamba mchudhii
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ur correct kwakweli.....
I've been looking for u around for 3days now.....why u doing this???