lillies Member Joined Oct 2, 2012 Posts 47 Reaction score 16 Jul 1, 2016 #1 Habari wana Jnvi, Nauza miti pamoja na ardhi heka 5. bei ni 15,000 miti ina miaka 6. Kwa mawasiliano 0755238761.
Habari wana Jnvi, Nauza miti pamoja na ardhi heka 5. bei ni 15,000 miti ina miaka 6. Kwa mawasiliano 0755238761.
B BABS Member Joined Jan 8, 2015 Posts 15 Reaction score 14 Jul 2, 2016 #2 Haujaeleweka ,haujataja ilipo bei yenyewe unaonyesha haupo serious ,
lillies Member Joined Oct 2, 2012 Posts 47 Reaction score 16 Jul 4, 2016 Thread starter #3 BABS said: Haujaeleweka ,haujataja ilipo bei yenyewe unaonyesha haupo serious , Click to expand... Samahani sana Mkuu ni kweli niko serious miti ipo mkoa wa Njombe na bei yake ni 15,000,000.kwa hizo heka 5 pamoja na land.
BABS said: Haujaeleweka ,haujataja ilipo bei yenyewe unaonyesha haupo serious , Click to expand... Samahani sana Mkuu ni kweli niko serious miti ipo mkoa wa Njombe na bei yake ni 15,000,000.kwa hizo heka 5 pamoja na land.
Y youngmillionaire Member Joined Jan 23, 2016 Posts 6 Reaction score 1 Jul 22, 2016 #4 nasikia mkishawauziaga watu miti Huwa mnaichoma moto au kumuua mnunuaji kimazingara